PAC yaibua ufisadi mwingine
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeanika madudu na kashfa za kutisha katika ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikiwa ni pamoja na zaidi ya Sh100 bilioni kukwepwa kulipwa na kampuni mbalimbali kwa kivuli cha misamaha ya kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Ziara ya Kinana yaibua ufisadi Kalambo
ZIARA ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wilayani Kalambo, imeibua mgogoro wa mgawo wa fedha za chama hicho za wilaya, uliokuwa unafukuta. Kutokana na hali hiyo, ameamuru uchunguzi ufanyike haraka.
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Skylight Band yaibua kifaa kipya mithili ya Kasuku si mwingine ni Ashura Kitenge, njoo leo umshuhudie LIVE Thai Village
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimkaribisha mdau wa bendi hiyo Miryam Kamaliza shot ya Tequila wakati wa show iliyobamba wakazi wa Dar Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki.
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimimina kinywaji cha Tequila kwa Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village.
Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akipiga kilaji cha Tequila kupasha mwili joto kabla ya kupanda jukwaani, kinywaji hicho ni...
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Ufisadi: mwingine asimamishwa Tanzania
9 years ago
Habarileo30 Dec
Ufisadi mwingine waibuka bandarin
MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar
10 years ago
Habarileo12 Mar
‘Ufisadi mwingine wa mil 700/- wanukia Nishati’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambazo zinaonekana kuyeyuka katika mazingira yasiyoeleweka.
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Pakistan yaibua vipaji