Ufisadi: mwingine asimamishwa Tanzania
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi Eliakim Maswi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
PAC yaibua ufisadi mwingine
9 years ago
Habarileo30 Dec
Ufisadi mwingine waibuka bandarin
MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar
10 years ago
Habarileo12 Mar
‘Ufisadi mwingine wa mil 700/- wanukia Nishati’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambazo zinaonekana kuyeyuka katika mazingira yasiyoeleweka.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Tanzania yapunjwa fidia ya ufisadi Stanbic
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Miss Tanzania atajwa ufisadi wa Sh1.3 trilioni
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Serikali ya Tanzania imefanya maamuzi ya kumsimamisha mwingine leo December 23
December 23 2015 imenifikia taarifa ya maamuzi yaliyoamriwa na Serikali ya Tanzania ambapo Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi ya mwendokasi DART, Bi. Asteria Mlambo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili. Tuhuma zilizotajwa kusababisha kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyo ni ishu ya kukiukwa kwa kanuni za kumtafuta mtoa huduma wa mpito wa huduma za mabasi ya mwendokasi. […]
The post Serikali ya Tanzania imefanya maamuzi ya kumsimamisha mwingine leo December 23 appeared first...