Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic

Serikali ya Tanzania imesema imeanza uchunguzi wa ufisadi wa Dola milioni 6 uliohusu mkataba wa mkopo kutoka kwa benki ya Stanbic.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yapunjwa fidia ya ufisadi Stanbic

Mapya yamezidi kuibuka katika sakata la ufisadi kwenye mkopo wa Sh1.3 trilioni kutoka Benki ya Standard baada ya asasi ya kiraia nchini Uingereza kubainisha kuwa Serikali imepunjwa fidia katika uamuzi wa kesi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6

SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.

 

10 years ago

Vijimambo

FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.

"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).

Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic Tanzania, Thereza Majinge (kulia) akimkabidhi Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Elisha Osati (kushoto), mfano wa hundi yenye thamani ya TZS Milioni 30,  ikiwa ni mchango wa benki hiyo kusaidia mapambano ya ugonjwa wa homa ya virusi vya Corona (Covid 19). Makabidhiano hayo yalifanyika katika makao makuu ya Benki ya Stanbic Dar es Salaam wiki hii. Katikati ni Katibu Mkuu wa MAT Dkt Lilian R. Mnabwiru.

 

9 years ago

Dewji Blog

Stanbic Tanzania yazindua tawi mkoani Mbeya

3

Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa tawi la Benki ya Stanbic tawi la Mbeya uliofanyika mwishoni mwa wiki kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Hatib Senkoro na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Stanbic Tanzania Bw. Ken Cockerill.

PICTURE 7

Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akisoma maandishi ya bango lililopo kwenye benki ya Stanbic tawi la Mbeya muda mfupi baada ya kulizindua mwishoni mwa wiki  kulia kwake ni...

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ: BENKI YA STANBIC TANZANIA MATATANI TENA

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es salaam leo kuhusiana na tuhuma zilizoelekezwa benki ya Stanbic Tanzania kuwa imetumika katika kufanya udanganyifu wa riba ya mkopo dola Milioni 600 iliyopewa serikali ya Tanzania na Uingereza kupitia Kampuni ya Egma ya Tanzania.
Amesema kuwa Benki kuu ilifanya ukaguzi wa benki hiyo na mambo mengine walibaini malipo yasiyokuwa ya kawaida kuhusiana na kampuni ya kitanzania inayoitwa Egma,malipo...

 

9 years ago

StarTV

Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic

Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265

Kufuatia athari za kiuchumi zilizosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa kirusi cha Corona (COVID-19) benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa unafuu wa malipo ya mikopo kwa wateja wake kwa muda wa miezi 3 hadi 6. Afueni hiyo ya malipo iliyoanza mwezi Aprili ikilenga sekta ya utalii pekee, hivi sasa imeongezwa na kulenga sekta zingine kama vile usafirishaji, nishati na wafanyabiashara wa kati na wadogo. 
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...

 

9 years ago

Vijimambo

STANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania Ken Cockerill akiongea na wa habari kuhusiana na benki hiyo ilivyofanikisha Benki ya PTA kuwekeza amana zenye thamani ya shilingi 32.6bn kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam ambazo zitasaidia kuboresha miundo mbinu ya umeme nchini kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO).mkutano huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani