Tanzania yapunjwa fidia ya ufisadi Stanbic
Mapya yamezidi kuibuka katika sakata la ufisadi kwenye mkopo wa Sh1.3 trilioni kutoka Benki ya Standard baada ya asasi ya kiraia nchini Uingereza kubainisha kuwa Serikali imepunjwa fidia katika uamuzi wa kesi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Stanbic Tanzania yazindua tawi mkoani Mbeya
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa tawi la Benki ya Stanbic tawi la Mbeya uliofanyika mwishoni mwa wiki kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Hatib Senkoro na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Stanbic Tanzania Bw. Ken Cockerill.
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akisoma maandishi ya bango lililopo kwenye benki ya Stanbic tawi la Mbeya muda mfupi baada ya kulizindua mwishoni mwa wiki kulia kwake ni...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s72-c/_MG_1724.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ: BENKI YA STANBIC TANZANIA MATATANI TENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s640/_MG_1724.jpg)
Amesema kuwa Benki kuu ilifanya ukaguzi wa benki hiyo na mambo mengine walibaini malipo yasiyokuwa ya kawaida kuhusiana na kampuni ya kitanzania inayoitwa Egma,malipo...
9 years ago
StarTV02 Dec
Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...
9 years ago
VijimamboSTANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--QK8GNEJGVA/XsaCO7RVVhI/AAAAAAAEHSQ/TqozD0Ny_vgP2516QPn4u7TLeIiXsJSWACLcBGAsYHQ/s72-c/Brian%2BNdadzungira%2B-%2BHead%252C%2BPBB.jpg)
Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265
![](https://1.bp.blogspot.com/--QK8GNEJGVA/XsaCO7RVVhI/AAAAAAAEHSQ/TqozD0Ny_vgP2516QPn4u7TLeIiXsJSWACLcBGAsYHQ/s1600/Brian%2BNdadzungira%2B-%2BHead%252C%2BPBB.jpg)
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Ufisadi: mwingine asimamishwa Tanzania