Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265
![](https://1.bp.blogspot.com/--QK8GNEJGVA/XsaCO7RVVhI/AAAAAAAEHSQ/TqozD0Ny_vgP2516QPn4u7TLeIiXsJSWACLcBGAsYHQ/s72-c/Brian%2BNdadzungira%2B-%2BHead%252C%2BPBB.jpg)
Kufuatia athari za kiuchumi zilizosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa kirusi cha Corona (COVID-19) benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa unafuu wa malipo ya mikopo kwa wateja wake kwa muda wa miezi 3 hadi 6. Afueni hiyo ya malipo iliyoanza mwezi Aprili ikilenga sekta ya utalii pekee, hivi sasa imeongezwa na kulenga sekta zingine kama vile usafirishaji, nishati na wafanyabiashara wa kati na wadogo.
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-25a9z9DzOQ8/VOJKTU1PXCI/AAAAAAAAqFs/9i8MSwTXC1U/s72-c/B2.jpg)
ECOBANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA WATEJA WAKE SIKU YA WAPENDANAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-25a9z9DzOQ8/VOJKTU1PXCI/AAAAAAAAqFs/9i8MSwTXC1U/s1600/B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HaFpNnZsVNs/VOJKUGZwNlI/AAAAAAAAqF0/o8p8gbovDdQ/s1600/V3.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a9ltXXDvhBo/Xs_I4CZJb5I/AAAAAAALr48/U8_BaUX6gWARnEZs8_XaG5LeQv_UpqmbwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Benki ya Stanbic yatoa milioni 50 kwa wajasirimali katika kusherehekea miaka 25
![](https://1.bp.blogspot.com/-a9ltXXDvhBo/Xs_I4CZJb5I/AAAAAAALr48/U8_BaUX6gWARnEZs8_XaG5LeQv_UpqmbwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
“Nchini Tanzania, sekta ya biashara ina makampuni ya biashara ndogondogo na za kati (SMEs) zaidi ya milioni 3, ambazo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nMS_o1_203U/VVrvBN3OIYI/AAAAAAAHYMc/qjKG1mzM4Js/s72-c/Untitledn.png)
DAWASCO YAANZA NA OPERESHENI KATA MAJI KWA WATEJA WAO WENYE MADENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nMS_o1_203U/VVrvBN3OIYI/AAAAAAAHYMc/qjKG1mzM4Js/s640/Untitledn.png)
MTEJA ULIYETUMIA HUDUMA YA MAJISAFI NA MAJITAKA, NENDA SASA KALIPIE KABLA HUDUMA HIYO HAIJASITISHWA NA WAKAGUZI WANAOPITA NYUMBA KWA NYUMBA.
ZOEZI LA USITISHWAJI WA HUDUMA YA MAJI LIMEANZA RASMI NA LITAHUSISHA WAKAZI WOTE WANAOHUDUMIWA NA DAWASCO.
KUMBUKA PINDI UTAKAPOSITISHIWA HUDUMA HII GHARAMA YA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gMPWl_1mMWE/XklqiGjC3XI/AAAAAAALdlA/kvV4Gnv18F45QsO41psQpoo1BUyhAFgXACLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Absa Tanzania yawahakikishia wateja wake huduma bora zaidi
![](https://1.bp.blogspot.com/-gMPWl_1mMWE/XklqiGjC3XI/AAAAAAALdlA/kvV4Gnv18F45QsO41psQpoo1BUyhAFgXACLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsqCgq9CGHK7YBmTr9ZK0-Fh8tdSWp0j1QVIfhxvRe6RN2vpzPUjLP3Hkujby2zxovc4uLWs0CWKwNJbTWl-T5cS/1.jpg?width=650)
TIGO YATOA MILIONI 400 KWA WATEJA WAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KvMKkkPBIvw/XoNgQTQfgoI/AAAAAAALluA/yjvB7iCnrxQ4ZEgieeDZyQnfyWErCGSqACLcBGAsYHQ/s72-c/7d8f109a-9c4a-47f1-87d2-d76e538455cb.jpg)
RAHA LIQUID TELECOM YATOA SULUHISHO KWA WATEJA WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvMKkkPBIvw/XoNgQTQfgoI/AAAAAAALluA/yjvB7iCnrxQ4ZEgieeDZyQnfyWErCGSqACLcBGAsYHQ/s400/7d8f109a-9c4a-47f1-87d2-d76e538455cb.jpg)
RAHA Liquid Telecom inayojihusisha na utoaji wa huduma ya intanet imesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inaendelea kupambana dhidi ya virusi vya Corona, wao wanaongozwa na imani kila mtu kwenye Bara la Afrika ana haki ya kuungwanishwa na huduma ya intanet
Imesema kadri zinapochukuliwa hatua dhidi ya maambukuzi ya COVID-19 (Coronavirus), wanakumbuka mahitaji yanayoongezeka na hivyo mtandao wa uhakika na uwezo wa kufanya kazi majumbani, kujifunza na matumizi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xvy15oBdi3Q/VImAH2R5UlI/AAAAAAAG2gw/d-Qc6GFVkjs/s72-c/unnamed..jpg)
UTT-PID YATOA HATI YA VIWANJWA KWA WATEJA WAKE
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Hayo alisema mjini hapa siku Desemba 8, wakati wa ufunguzi wa mradi na ugawaji wa hati kwa wanunuzi wa Viwanja katika Kijiji cha Mapinga- Bagamoyo ulioratibiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Miundombinu chini ya Dhamana...