Benki ya Stanbic yatoa milioni 50 kwa wajasirimali katika kusherehekea miaka 25
![](https://1.bp.blogspot.com/-a9ltXXDvhBo/Xs_I4CZJb5I/AAAAAAALr48/U8_BaUX6gWARnEZs8_XaG5LeQv_UpqmbwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 25, benki ya Stanbic Tanzania imezindua shindano la wajasiriamali kwa lengo la kuchochea ukuaji wa shughuli za kibiashara nchini Tanzania. Shindano hilo liitwalo, ‘Stanbic Entrepreneurship Challenge’ linatarajiwa kuanza tarehe 28 Mei hadi tarehe 11 Juni mwaka huu – ambapo washindi watano watazawadiwa shilingi milioni 10 kila mmoja.
“Nchini Tanzania, sekta ya biashara ina makampuni ya biashara ndogondogo na za kati (SMEs) zaidi ya milioni 3, ambazo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s72-c/n9.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBOSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s1600/n9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hxXB3OdkTP4/U3nlUqmXoKI/AAAAAAAA_KU/27xJBKlQIJQ/s1600/n10.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAWAPA KIPAUMBELE WA WAJASIRIMALI KATIKA MAONESHO YA SABA SABA
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s72-c/MMGM0812.jpg)
TEAMDIZOMOJA YAICHAPA TEAMISMAIL BAO 4-1 KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 4 YA KUNDI LA KANDANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s1600/MMGM0812.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RBGEbxkNbgM/VEuI1Vpui8I/AAAAAAAGtTE/lOgPb_9VuGE/s1600/MMGM0689.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s72-c/IMG_5863.jpg)
BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s640/IMG_5863.jpg)
Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-d1ibrNxogEE/VlbjKm0WsOI/AAAAAAADC0o/7P0tsIBle6s/s640/IMG_5878.jpg)
Meneja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UKGEhBwGJyc/XmYK03GPH2I/AAAAAAALiLI/JfBrpfgN6IEBnRUBOpD7dwy_TCuH0PsEQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.
Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...