TEAMDIZOMOJA YAICHAPA TEAMISMAIL BAO 4-1 KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 4 YA KUNDI LA KANDANDA
Wadau wa Kundi la Kandanda katika Mtandao wa kijamii wa Facebook ambao leo wamekutana pamoja katika kusherehekea maadhimisho ya miaka minne ya Kundi hilo,kwa kusakata mtanange mkali sana katika Uwanja wa TCC Club,Changombe jijini Dar es Saalam.Mtanange huo ulizikutanisha timu mbili zilizoundwa na wadau Dizo Moja na Ismail.TeamDizo iliibuka kidedea kwa kuinyuka TeamIsmail mabao 4-1 bila huruma na kufanikiwa kutwaa kombe la shampeni. Muanzilishi wa Kundi la Kandanda ndani ya Mtandao wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziGroup la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...
5 years ago
MichuziBenki ya Stanbic yatoa milioni 50 kwa wajasirimali katika kusherehekea miaka 25
“Nchini Tanzania, sekta ya biashara ina makampuni ya biashara ndogondogo na za kati (SMEs) zaidi ya milioni 3, ambazo...
10 years ago
VijimamboYANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3-1
Amis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka kipa wa Mbeya City, Hanington Kalyesubula.Juma Nyoso akichuana na Amis Tambwe. Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akiwa katikati ya mabeki...
10 years ago
MichuziAzam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar akimiliki mpira.
Frank Domayo (shoto) akichuana na beki wa Kagera Sugar, Mussa Nampaka.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo.
Kipre Tchetche akimiliki mpira.
Frank Domayo akishangilia bao lake.
11 years ago
MichuziTAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziUbingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
11 years ago
MichuziSIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0
10 years ago
MichuziYANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
MichuziYANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10