Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s72-c/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook tarehe 25/10/2014 litakuwa likitimiza miaka 4 tangu kuanzishwa ndani ya facebook.
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s72-c/MMGM0812.jpg)
TEAMDIZOMOJA YAICHAPA TEAMISMAIL BAO 4-1 KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 4 YA KUNDI LA KANDANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s1600/MMGM0812.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RBGEbxkNbgM/VEuI1Vpui8I/AAAAAAAGtTE/lOgPb_9VuGE/s1600/MMGM0689.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Babu (62) ambaka mjukuu wake wa miaka mitano
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e-4Du0N6GP8/VHVManj9HKI/AAAAAAAGzac/gSOn3U-SFN8/s72-c/unnamed7.jpg)
Radio Magic FM 92.9 yazindua masfa yake na kusherehekea miaka 15 ya uwepo wake kwa kishindo mkoani mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-e-4Du0N6GP8/VHVManj9HKI/AAAAAAAGzac/gSOn3U-SFN8/s1600/unnamed7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
Kufutia hatua hiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigo mpana wa kutoa huduma za bima zikiwemo bima za Afya na Bima za maisha ambazo tayari kampuni ya Britam imekuwa ikitoa kwa muda mrefu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Muungano huu utaboresha huduma...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano apatikana akiendesha gari la mzazi wake Utah
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![DSCF3003](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/3_MDSEx8Y7reUUgR5dE6bZglZysJ6z2b35z7sSyhuEMOthZ7waB89wwae5oA2MTJ_Q2Z1XSt-DvsskaiGvLeFITqIF_WuU1w4hbe_EBCgx-kfw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3003.jpg)
![DSCF3007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/J4PB8SjShqejUy1fYK1G1FkZ1NrJa4i2zmylPddkVpub61lyHeSTHvsptTaE4R71liRp6FJn4kUwcr1PA2pNHxWQvTGTE8tWQ8UqD4797nCh7w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3007.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Tigo yafikia wafuasi Milioni Moja katika mtandao wa Facebook
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmCPLA9kPm0/VoH-CuAOqGI/AAAAAAAAXsk/m0p3NprQxO0/s640/Untitled.jpg)
Kampuni ya Tigo Tanzania hivi karibunii metangaza kufikisha wafuasi milioni moja katika mtandao wao wa Facebook. Katika ukarasa wake wa Facebook, www.facebook.com/TigoTanzania kampunii lifikisha mfuasi wa milioni moja Jumapili Desemba 27 mwaka huu hapa Tanzania.
Kutokana na ongezeko la matumizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook hapa nchini, Facebook imekuwa mstari wa mbele katika matumizi kutokana uzinduzi wa Facebook katika lugha ya Kiswahili uliofanyika mwaka wa 2014 kwa ushirikiano wa...
10 years ago
Bongo519 Nov
Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’