KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
Kampuni ya Bima ya REAL Tanzania sasa imekuwa ni moja kati ya makampuni makubwa rasmi chini ya Kampuni ya Britam ambayo inatoa huduma mbalimbali za kifedha. Hii inafuatia kununuliwa wa Kampuni hiyo ya Bima na Kampuni ya Britam kutoka Kenya.
Kufutia hatua hiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigo mpana wa kutoa huduma za bima zikiwemo bima za Afya na Bima za maisha ambazo tayari kampuni ya Britam imekuwa ikitoa kwa muda mrefu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Muungano huu utaboresha huduma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAPINDUZI YA SIMU ZA MKONONI KATIKA SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RWDcsu5uhgo/U-iJ_A6yDOI/AAAAAAAF-YM/g-wUzHUk22s/s72-c/unnamed1.jpg)
KAMPENI YA BAVARIA YA MBIO ZA KUELEKEA JUU YATARAJIWA KULETA CHANGAMOTO KUBWA ENEO LA AFRIKA YA MASHARIKI KATIKA SOKO LA VINYWAJI
10 years ago
Mwananchi30 Dec
‘Tuandaliwe kujiunga na soko la Afrika Mashariki’
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki
JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...
11 years ago
MichuziWatanzania Wachangamkie Soko la Hisa la Afrika Mashariki
Umetolewa Mwito kwa Watanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji kwa ununuzi wa hisa katika soko la hisa la Jumuiya ya Afrika linalotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s72-c/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s1600/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MVYtXkytBHk/XtntNrVgnfI/AAAAAAALsq0/WFA1f5TgSPYvB4VoJVW-_gyxbRiLpSSvgCLcBGAsYHQ/s72-c/10587244-glass-bottles-prepared-for-recycling.jpg)
Asilimia 25 ya ushuru kwenye chupa za kioo à utavuruga biashara soko la Afrika Mashariki
![](https://1.bp.blogspot.com/-MVYtXkytBHk/XtntNrVgnfI/AAAAAAALsq0/WFA1f5TgSPYvB4VoJVW-_gyxbRiLpSSvgCLcBGAsYHQ/s400/10587244-glass-bottles-prepared-for-recycling.jpg)
Kioo Limited ni kampuni ya kizalendo ambayo imekuwa kwa muda mrefu ikizalisha bidhaa za chupa za kioo na kuuza ndani na nje ya Tanzania.
Kampuni hii imekuwa ikibadili malighafi zinazopatikana hapahapa nchini na kuzigeuza kuwa bidhaa zenye thamani kama ambavyo imekuwa ikisisitizwa na Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli katika hotuba zake...
10 years ago
GPLWARSHA YA UTAYARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziWARSHA YA UTAARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR