Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPINDUZI YA SIMU ZA MKONONI KATIKA SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI

DAR ES SALAAM, Septemba 11, 2015 - Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi  na huduma za kipekee  zilizo na manufaa kwa jamii.  Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

AFRIKA MASHARIKI: Wateja wa simu za mkononi EAC kupungizwa gharama

>Wateja wa mawasiliano ya simu katika nchi za Uganda, Kenya, Rwanda na Sudan Kusini wanatarajia kufurahia viwango vya ada sawa za mawasiliano chini ya mpango mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojulikana kama  “One network Area”

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI

Kampuni ya Bima ya REAL Tanzania sasa imekuwa ni moja kati ya makampuni makubwa  rasmi chini ya Kampuni ya Britam ambayo inatoa huduma mbalimbali za kifedha. Hii inafuatia kununuliwa wa Kampuni hiyo ya Bima na Kampuni ya Britam kutoka Kenya. 
Kufutia hatua hiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigo mpana wa kutoa huduma za bima zikiwemo bima za Afya na Bima za maisha  ambazo tayari kampuni ya Britam imekuwa ikitoa kwa muda mrefu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Muungano huu utaboresha huduma...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI YA BAVARIA YA MBIO ZA KUELEKEA JUU YATARAJIWA KULETA CHANGAMOTO KUBWA ENEO LA AFRIKA YA MASHARIKI KATIKA SOKO LA VINYWAJI

Wakati uchumi wa Tanzania ukiendelea kukua siku hadi siku, ongezeko la wananchi wenye kipato cha kati nalo limezidi kukua, na hivyo kuleta changamoto mpya katika masoko ya bidhaa mbalimbali hapa Waagizaji wa kinywaji Kutoka Uholanzi cha Bavaria eneo la Afrika ya Mashariki, Jovet (Tanzania) Limited wamedhamiria kuleta changamoto hiyo baada ya kuzindua kampeni rasmi ya mbio za kuelekea kileleni, na hivyo kuongeza wigo wake katika soko hili la Afrika ya Mashariki, ambalo limekua...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tuandaliwe kujiunga na soko la Afrika Mashariki’

Wakulima wa mpunga katika Kata ya Igurusi wilayani Mbarali wameiomba Serikali iwapatie elimu ya kilimo chenye tija ili kuzalisha mazao bora kabla ya kuingia katika Soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) linaloundwa na nchi za Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki

JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki  yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki  baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...

 

11 years ago

Michuzi

Watanzania Wachangamkie Soko la Hisa la Afrika Mashariki

Meneja wa Hisa wa Benki ya CRDB Makao Makuu, Emanuel Ng'ui, akizungumza na wenye hisa wa CRDB Bank, katika semina ya uhamasishaji kuhusu matumizi ya Hisa. Mkurugenzi wa CRDB Bank, PLC, Tawi la Lumumba, John Almasy, akizungumza na Meneja wa Hisa wa Benki ya CRDB Makao Makuu, na Mkurugenzi wa CRDB, Tawi la Vijana, Pelesi Fungo, wakati wa semina hiyo.
Umetolewa Mwito kwa Watanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji kwa ununuzi wa hisa katika soko la hisa la Jumuiya ya Afrika linalotarajiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yashika nafasi ya pili katika malipo kupitia simu za mkononi

Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi  na huduma za kipekee  zilizo na manufaa kwa jamii.

 Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za  malipo kupitia simu za mkononi (Online payments), malipo haya yameongezeka kwa kasi kubwa kupitia Mpesa, Tigopesa, Airtel...

 

5 years ago

Michuzi

Asilimia 25 ya ushuru kwenye chupa za kioo àutavuruga biashara soko la Afrika Mashariki

Nchi ya Kenya imeweka asilimia 25% ya ushuru wa bidhaa za chupa za kioo (glass bottles) zinazotengezwa na kampuni ya kioo Limited kutoka Tanzania.

Kioo Limited ni kampuni ya kizalendo ambayo imekuwa kwa muda mrefu ikizalisha bidhaa za chupa za kioo na kuuza ndani na nje ya Tanzania.

Kampuni hii imekuwa ikibadili malighafi zinazopatikana hapahapa nchini na kuzigeuza kuwa bidhaa zenye thamani kama ambavyo imekuwa ikisisitizwa na Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli katika hotuba zake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani