Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki
JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWARSHA YA UTAYARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR
 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za uzalishaji Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdullah Makame akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Salum Maulid Salum (kati kati) kufungua warsha ya utayarishaji mkakati Itifaki ya soko la
pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wakwanza (kushoto) Makamu wa Rais wa Chamber of Commerce Zanzibar Ali Aboud Mzee....
10 years ago
MichuziWARSHA YA UTAARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RWDcsu5uhgo/U-iJ_A6yDOI/AAAAAAAF-YM/g-wUzHUk22s/s72-c/unnamed1.jpg)
KAMPENI YA BAVARIA YA MBIO ZA KUELEKEA JUU YATARAJIWA KULETA CHANGAMOTO KUBWA ENEO LA AFRIKA YA MASHARIKI KATIKA SOKO LA VINYWAJI
Wakati uchumi wa Tanzania ukiendelea kukua siku hadi siku, ongezeko la wananchi wenye kipato cha kati nalo limezidi kukua, na hivyo kuleta changamoto mpya katika masoko ya bidhaa mbalimbali hapa Waagizaji wa kinywaji Kutoka Uholanzi cha Bavaria eneo la Afrika ya Mashariki, Jovet (Tanzania) Limited wamedhamiria kuleta changamoto hiyo baada ya kuzindua kampeni rasmi ya mbio za kuelekea kileleni, na hivyo kuongeza wigo wake katika soko hili la Afrika ya Mashariki, ambalo limekua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QGPHMg3s_yg/Xliuaq87DKI/AAAAAAALfzI/U0o9JZpYrfsixRxmlOshnl-G2F_SUT1nQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-66.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA APOKEA UJUMBE KUTOKA SEKRETARIETI YA SOKO LA PAMOJA LA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA COMESA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGPHMg3s_yg/Xliuaq87DKI/AAAAAAALfzI/U0o9JZpYrfsixRxmlOshnl-G2F_SUT1nQCLcBGAsYHQ/s640/1-66.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe na Naibu Katibu Mkuu Ndugu Ludovick Nduhiye wakiwa katiza picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Sekretarieti ya COMESA ulioongozwa na Balozi Dr. Kipyego Cheluget.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-53.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Katibu mkuu anayeshughulikia miradi kutoka sekretarieti ya (COMESA) Balozi Dr. Kipyego Cheluget.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-52-1024x365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiongoza kikao...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
‘Tuandaliwe kujiunga na soko la Afrika Mashariki’
Wakulima wa mpunga katika Kata ya Igurusi wilayani Mbarali wameiomba Serikali iwapatie elimu ya kilimo chenye tija ili kuzalisha mazao bora kabla ya kuingia katika Soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) linaloundwa na nchi za Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi.
11 years ago
MichuziWatanzania Wachangamkie Soko la Hisa la Afrika Mashariki
Umetolewa Mwito kwa Watanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji kwa ununuzi wa hisa katika soko la hisa la Jumuiya ya Afrika linalotarajiwa...
9 years ago
GPLMAPINDUZI YA SIMU ZA MKONONI KATIKA SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI
DAR ES SALAAM, Septemba 11, 2015 - Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi  na huduma za kipekee zilizo na manufaa kwa jamii.  Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
Kufutia hatua hiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigo mpana wa kutoa huduma za bima zikiwemo bima za Afya na Bima za maisha ambazo tayari kampuni ya Britam imekuwa ikitoa kwa muda mrefu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Muungano huu utaboresha huduma...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MVYtXkytBHk/XtntNrVgnfI/AAAAAAALsq0/WFA1f5TgSPYvB4VoJVW-_gyxbRiLpSSvgCLcBGAsYHQ/s72-c/10587244-glass-bottles-prepared-for-recycling.jpg)
Asilimia 25 ya ushuru kwenye chupa za kioo à utavuruga biashara soko la Afrika Mashariki
![](https://1.bp.blogspot.com/-MVYtXkytBHk/XtntNrVgnfI/AAAAAAALsq0/WFA1f5TgSPYvB4VoJVW-_gyxbRiLpSSvgCLcBGAsYHQ/s400/10587244-glass-bottles-prepared-for-recycling.jpg)
Kioo Limited ni kampuni ya kizalendo ambayo imekuwa kwa muda mrefu ikizalisha bidhaa za chupa za kioo na kuuza ndani na nje ya Tanzania.
Kampuni hii imekuwa ikibadili malighafi zinazopatikana hapahapa nchini na kuzigeuza kuwa bidhaa zenye thamani kama ambavyo imekuwa ikisisitizwa na Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli katika hotuba zake...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania