Radio Magic FM 92.9 yazindua masfa yake na kusherehekea miaka 15 ya uwepo wake kwa kishindo mkoani mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-e-4Du0N6GP8/VHVManj9HKI/AAAAAAAGzac/gSOn3U-SFN8/s72-c/unnamed7.jpg)
Katika hali isiyo ya kawaida wakazi wa mtwara na viunga vyake wakionekana kujitokeza kwa wingi kwenye sherehe za uzinduzi wa masafa ya 92.9 ya kituo cha radio magic Fm inayomilikiw na Africa media group limited ya jijini dar es salaam.Uzinduzi huo ambao ulikwenda sambamba na sherehe za kumbukumbu za miaka 14 ya radio magic Fm ulupambwa na nyota wa muziki wa mwambao mzee yusuphu, pamoja na wasanii nyota wa Bongo Fleva Lady Jaydee na Ommy Dimpoz pamoja na Mfalme wa taarabu nchini Mzee Yusuf...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s72-c/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s1600/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s72-c/1.jpg)
KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA,AHITMISHA ZIARA YAKE MKOANI LINDI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hfVHwV5hzWE/VHC3YZ19VmI/AAAAAAAATsQ/-6Kczxix6h8/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s72-c/IMG_0259.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JOB MASIMA AKAMILISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s1600/IMG_0259.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s72-c/17.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI ARUSHA,AVUNA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 4000
![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cfeWd2iFGTk/VQ2Kei_40NI/AAAAAAAC2EQ/5SQpubwJQFQ/s1600/16.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_162118.jpg)
KIGOMA WAAHIDI KUMPA RAIS DK. MAGUFULI ASANTE YA KURA ZA KISHINDO 2020 KWA DHAMIRA YAKE YA KUFUFUA ZAO LA MICHIKICHI MKOANI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200525_162118.jpg)
Tumekuwa kwa zao hilo na hata wazazi wetu wamesoma shule kwa zao hilo ambalo kwa miaka ya nyuma ndio lilikuwa zao kubwa sana na ndio maana kwenye kila kaya ndani ya mkoa wa Kigoma huwezi ukakosa kukuta mashine ya kukamua mawese kwa...
10 years ago
GPLEFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yazindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Magufuli katika ubora wake Mkoani Mtwara jioni ya leo
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi
Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara
waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni
unaoendelea jioni hii katika uwanja wa Mashujaa.Wakazi wa mji wa Mtwara wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa
hadhara wa kampeni za CCM,unaofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa
CCM,wakimsikiliza mgombea Urais wa chama hicho Dkt John Pombe Magufuli.
Picha ya juu na chini wafuasi wa...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Tigo Welcome Pack yamalizika kwa kishindo mjini Mtwara
Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile mwenye kofia akikagua basi la kampuni ya Tigo linalotumika kutoa huduma zake kwa wananchi walio vijijini kwenye kampeni ya welcome pack, kushoto kwake ni Meneja wa Tigo kanda ya kusini, Daniel Mainoya.wengine ni baadhi ya wateja wa kampuni hiyo waliyoenda kufahamu zaidi huduma zitolewazo na kampuni hiyo kwenye tamasha lililofanyika uwanja wa Nangwanda Mkoani Mtwara.
Wasanii wa kundi la Origino Komedi wakionesha shoo wakati wa tamasha la Tigo welcome...