KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA,AHITMISHA ZIARA YAKE MKOANI LINDI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini kwenye uwanja wa Ilulu wilaya ya Lindi mjini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia CCM inasimamia uwajibikaji na kama mtu amekosea awajibike na akishindwa atawajibishwa mapema.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia wananchi hao CCM ni chama pekee chenye mfumo ulioanzia chini hivyo watu waache...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](https://dub123.mail.live.com/Handlers/ImageProxy.mvc?bicild=&canary=Yx6pGuqgha9LzOWgDI6oj0GMsKLYJXmDOJajnPfK0kY%3d0&url=http%3a%2f%2f3.bp.blogspot.com%2f-V9xJ4H_nIyw%2fVHDZYuXGmlI%2fAAAAAAAAAFI%2fsZhgTxiK9y0%2fs1600%2f2.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s72-c/01.jpg)
KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hfVHwV5hzWE/VHC3YZ19VmI/AAAAAAAATsQ/-6Kczxix6h8/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0qP_-X5SgHc/VHC3aNdEN2I/AAAAAAAATsY/DRMmXKUAqEU/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s72-c/17.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI ARUSHA,AVUNA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 4000
![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cfeWd2iFGTk/VQ2Kei_40NI/AAAAAAAC2EQ/5SQpubwJQFQ/s1600/16.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Lindi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Lindi jana, kuhitimisha ziara ya siku 8 katika Mkoa wa Lindi ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wi5ui1N9Kjc/U3kRHiAciUI/AAAAAAAChjA/uD6dNZhqm3I/s1600/18.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abulrahman Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-xF0gMwVcEJI/VG4lHq_wCfI/AAAAAAAATk8/VI4Bp7QA_Ok/s1600/02.jpg)
ZIARA YA KINANA NDANI YA-LIWALE MKOANI LINDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s72-c/IMG_0259.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JOB MASIMA AKAMILISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s1600/IMG_0259.jpg)