Ubingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s72-c/kushangilia-4.jpg)
YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s1600/kushangilia-4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xkFGJoOK3J0/VRLhCTmN8II/AAAAAAABVn0/0RUPZejCmr4/s1600/msuva%2Btena.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9JiH1UMaR84/VRLhEoReeJI/AAAAAAABVoA/F55b0AYruvI/s1600/msuva.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
VijimamboRUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA
Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.
10 years ago
GPLYANGA YAICHAPA RUVU SHOOTING 5-0 UWANJA WA TAIFA, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s72-c/MMGL0007.jpg)
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s1600/MMGL0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nafz-CBBzlI/VSp8pguCB9I/AAAAAAAHQq0/zC6U5Se41Cg/s1600/MMGL0157.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfBusODcBn0/VSp9UZyQ-iI/AAAAAAAHQrA/mY1cGA8CE3k/s1600/MMGL0186.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s72-c/1.jpg)
UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qF5arxuyb0/VT5FqAw_1uI/AAAAAAABYCc/_vI0qgaaY5g/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nGLNQDZ1Pdo/VT5FwwOv5vI/AAAAAAABYCk/dh0LdXeS86U/s1600/3..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gAylGNOAXg/VT5F7XdoHRI/AAAAAAABYC0/gt5d6pj1ASk/s1600/4.jpg)