Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting
>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya  Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA
Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.
10 years ago
MichuziUbingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).
![](http://3.bp.blogspot.com/-_815IVohPwo/VTplBhnrmCI/AAAAAAABXqc/PlFdpnBSLqY/s1600/2.jpg)
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Yanga, Ruvu Shooting watambiana
>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.
11 years ago
GPLYANGA VS RUVU SHOOTING LINE UP
YANGA LINE-UP
1. Deogratias Munish -30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Koshua - 4
4. Nadir Haroub - 23
5. Kelvin Yondani - 5
6. Frank Domayo - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Mrisho Ngasa - 17
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Emmanuel Okwi - 25
11. Hamis Kizza - 20
Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Rajab Zahir - 14
5. Athuman Idd - 24
6. Hassan Dilunga - 26
7. Said Bahanuzi - 11
RUVU...
10 years ago
GPLYANGA YAICHAPA RUVU SHOOTING 5-0 UWANJA WA TAIFA, DAR
Wachezaji wa Yanga, Kpah Sherman na Simon Msuva wakishangilia ushindi wa leo wa 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting. Sintofahamu wakati wa mchezo wa Yanga na Ruvu Shooting leo. Mrisho Ngassa akijaribu kumtoka mchezaji wa Ruvu Shooting. KIKOSI cha Yanga SC leo kimetoa kichapo cha mabao 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye…
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
Michuzi24 Feb
YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU
Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Simba yazindukia kwa Ruvu Shooting
TIMU ya Simba, jana ilivuna pointi tatu muhimu katika mbio za Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuwafunga Ruvu Shooting ya Pwani mabao 3-2 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Taifa,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania