Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting

>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya   Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA

 Timu zikiingia uwanjani.  Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).
 Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.

 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Ubingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo


Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0. 
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Ruvu Shooting watambiana

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi  taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.

 

11 years ago

GPL

YANGA VS RUVU SHOOTING LINE UP

YANGA LINE-UP
1. Deogratias Munish -30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Koshua - 4
4. Nadir Haroub - 23
5. Kelvin Yondani - 5
6. Frank Domayo - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Mrisho Ngasa - 17
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Emmanuel Okwi - 25
11. Hamis Kizza - 20

Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Rajab Zahir - 14
5. Athuman Idd - 24
6. Hassan Dilunga - 26
7. Said Bahanuzi - 11
RUVU...

 

10 years ago

GPL

YANGA YAICHAPA RUVU SHOOTING 5-0 UWANJA WA TAIFA, DAR

Wachezaji wa Yanga, Kpah Sherman na Simon Msuva wakishangilia ushindi wa leo wa 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting. Sintofahamu wakati wa mchezo wa Yanga na Ruvu Shooting leo. Mrisho Ngassa akijaribu kumtoka mchezaji wa Ruvu Shooting. KIKOSI cha Yanga SC leo kimetoa kichapo cha mabao 5-0 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye…

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

11 years ago

Michuzi

YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU


Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...

 

11 years ago

Michuzi

YANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

 Mchezaji wa Yanga, Juma abdul akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Said Madega.

 Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi akimpiga chenga kipa wa Ruvu Shooting, Abdalah Ramadhan na kuipatia timu yake bao la 3 kwa timu yake.  Dogo huniwezi.................  Sasa naenda kufunga...... Golikipa wa Ruvu Shooting, Abdalah Ramadhani akiwa ameshika kiuno baada ya Okwi kupachia bao. Washambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi (kulia), na Hamis Kiiza wakishangilia moja ya magoli waliyoifungia timu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yazindukia kwa Ruvu Shooting

TIMU ya Simba, jana ilivuna pointi tatu muhimu katika mbio za Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuwafunga Ruvu Shooting ya Pwani mabao 3-2 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Taifa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani