Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubingwa wanukia Yanga

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.

Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.

Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO

 Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada ya Tabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara unaoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mashabiki wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe. Mshambuliaji Wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Shabiki wa Yanga...

 

10 years ago

Michuzi

Ubingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo


Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0. 
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...

 

11 years ago

GPL

Wazambia wanukia Yanga SC


Na Hans Mloli
USAJILI unazidi kushika kasi Ligi Kuu Bara ambapo sasa Yanga SC wameamua kuzigeukia klabu za Zambia kwa ajili ya kufanya usajili wa baadhi ya wachezaji wanaowataka. Imeelezwa kuwa Yanga wanatafuta straika mmoja matata kwa ajili ya msimu ujao, hivyo tayari kuna harakati zimeanza kufanyika na mawasiliano yakiendelea kwa ajili ya kunyakua straika mmoja kutoka timu ya Nkana Red Devils aliyowahi kucheza straika wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Yanga wanukia Agosti

Uchaguzi wa Yanga huenda ukafanyika Agosti badalao ya Juni 15, kutokana na Kamati ya Uuchaguzi ya klabu hiyo kulazimika kufuata mwongozo wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). 

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yanyatia ubingwa

Mabingwa watetezi, Yanga wamefufua matumaini yao ya kutetea ubingwalipoichapa Kagera Sugar mabao 2-1, huku mechi kati ya Ruvu Shooting na Azam uliokuwa ufanyike Uwanja wa Mabatini, Pwani ukiahirishwa kutokana na mvua kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga kutangaza ubingwa Jumatatu

Dar es Salaam. Vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga huenda wakatangaza ubingwa  Jumatatu ijayo kama watashinda michezo yake mitatu wiki hii dhidi ya Stand United, Polisi Morogoro na Ruvu Shooting.

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu 10 zilizoipa Yanga Ubingwa

>Kivumbi cha Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 kimemalizika wiki iliyopita kwa Yanga kunyakua ubingwa ikiwa ni mara ya 25.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga SC hii, ubingwa lazima

SIMBA-YANGA-12.jpgWachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia.

Khadija Mngwai, Dar es Salaam

YANGA imeondoka jana saa 4:00 asubuhi kwenda Zanzibar tayari kwa Kombe la Mapinduzi. Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Juma Mwambusi amesema kwa kikosi walichonacho ni lazima watwae ubingwa.

Kesho Jumapili saa 10:30 jioni kwenye Uwanja wa Amaan, Yanga itacheza na Mafunzo katika mchezo wa Kundi B la michuano hiyo. Timu nyingine za Kundi B ni Azam FC na Mtibwa Sugar.

Kikosi cha Yanga kiliwasili salama jana mchana Zanzibar na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani