Yanga kutangaza ubingwa Jumatatu
Dar es Salaam. Vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga huenda wakatangaza ubingwa Jumatatu ijayo kama watashinda michezo yake mitatu wiki hii dhidi ya Stand United, Polisi Morogoro na Ruvu Shooting.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 May
Mwandosya kutangaza nia ya urais Jumatatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Prof.Mark-28May2015.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais Juni Mosi na kuchukua fomu Juni tatu mwaka huu.
Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kuchukua fomu siku hiyo kuwania mbio za urais.
Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani Mbeya.
Alisema...
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Yanga yanyatia ubingwa
10 years ago
Mwananchi11 May
Sababu 10 zilizoipa Yanga Ubingwa
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Azam yaiachia ubingwa Yanga
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Yanga SC hii, ubingwa lazima
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
YANGA imeondoka jana saa 4:00 asubuhi kwenda Zanzibar tayari kwa Kombe la Mapinduzi. Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Juma Mwambusi amesema kwa kikosi walichonacho ni lazima watwae ubingwa.
Kesho Jumapili saa 10:30 jioni kwenye Uwanja wa Amaan, Yanga itacheza na Mafunzo katika mchezo wa Kundi B la michuano hiyo. Timu nyingine za Kundi B ni Azam FC na Mtibwa Sugar.
Kikosi cha Yanga kiliwasili salama jana mchana Zanzibar na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*phjJk2ZI4LlyijnwgoqawFlC6kt1D*BWut5g*z2gvK-JQUWC0ptjC33xriqBhNe7b4f0PYzp0sEQ2Wzt2XdxcH/yanga2.jpg?width=650)
Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Azam yaipa Yanga nafasi ya ubingwa
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Yanga yachanja mbuga ubingwa Bara