Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*phjJk2ZI4LlyijnwgoqawFlC6kt1D*BWut5g*z2gvK-JQUWC0ptjC33xriqBhNe7b4f0PYzp0sEQ2Wzt2XdxcH/yanga2.jpg?width=650)
Mashabiki wa timu ya Yanga SC. Na Sweetbert Lukonge WAKATI zoezi la usajili kwa timu za Ligi Kuu Bara lilizidi kupamba moto, uongozi wa Simba upo mbioni kumtia kundini straika aliyeinyima ubingwa Yanga msimu wa 2011/12. Straika huyo si mwingine, bali ni Musa Said ambaye kwa sasa anaitumikia timu ya Daraja la Kwanza ya African Lyon ambayo alijiunga nayo mwaka jana akitokea Toto African ya jijini Mwanza. Wapenzi pamoja na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOlvdt0XyPF0c8fBqqkEwVMvsh257t9QKiMg4-*QTTgejsn9Nz9qZTY0x*q-G3TuWEaIWDZL*jjcqTFTziQaNVhhq/simba.jpg?width=650)
Simba SC: Tutazuia ubingwa wa Yanga Aprili 19
10 years ago
Vijimambo31 Dec
KOSHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR NA KISASI NA YANGA
![](http://api.ning.com/files/f3Cpy2Teci1WjwDd9a--FKFpDorjT6NSWldK*7fl67saZdWrW68eCw4FSeY9J*0jvg8JkEdJM9eMMucDxp35-aRauAIkucOe/1331248128GoranKopunovic.jpg?width=650)
Na Omary Mdose Wa GPL.KOCHA mpya wa Simba, Goran Kopunovic anaratajia kutua nchini leo saa 1:30 asubuhi akitokea nchini Hungary tayari kuingia mkataba na klabu hiyo na moja kwa moja kwenda Zanzibar.Kopunovic anatua nchini akiwa na ‘hasira’ au ‘kisasi’ kwa watani wa jadi wa Simba, Yanga kwa kuwa waliwahi ‘kumtema’.Miaka mitatu iliyopita, Yanga ilifanya mazungumzo na Kopunovic raia wa Serbia ili atue nchini kuinoa. Lakini wakati akiajiandaa kuja nchini,...
10 years ago
GPLAMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mkude awazia ubingwa Simba
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...