Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Mkenya atua Simba SC, Matola out

Kocha msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Na Waandishi Wetu
UONGOZI wa Simba umelazimika kuachana na kocha msaidizi, Selemani Matola na tayari kuna taarifa kuwa nafasi yake itachukuliwa na Mkenya, Yusuf Chippo ambaye aliwahi kuifundisha Coastal Union ya Tanga. Simba imefikia hatua hiyo baada ya kujadili kwa kina barua aliyoiandika Matola kwa viongozi wake kutaka kupumzika ili kutatua matatizo ya kifamilia lakini pia akiomba au...

 

10 years ago

GPL

T.I ATUA DAR MCHANA WA LEO

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ametua Dar mchana wa leo kutumbuiza katika tamasha la Serengeti Fiesta Dar usiku wa leo.

 

11 years ago

GPL

Mrithi wa Domayo atua leo mchana

Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Na Sweebert Lukonge
KIUNGO wa Yanga, Omega Seme, aliyerudishwa hivi karibuni katika klabu hiyo akitokea Prisons ya jijini Mbeya alikokuwa akicheza soka kwa mkopo, anatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo. Inaelezwa kuwa kiungo huyo atakwenda klabuni moja kwa moja na jukumu kubwa atakalopewa ni kuziba pengo lililoachwa na Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Hivi karibuni, Domayo ambaye alikuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Majwega atua Simba

MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Kiungo Mzimbabwe atua Simba

KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiiza atua rasmi Simba

Timu ya Simba imesema Mganda Hamisi Kiiza atakuwa chachu ya mafanikio katika msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Beki Simba atua African Lyon

KLABU ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza Taifa (FDL), imemsajili beki wa Simba, Hassan Isihaka kwa mkataba wa miaka mitatu wenye thamani...

 

9 years ago

Mwananchi

Lyanga atua Simba, Miraji aondoka

Wakati mshambuliaji Daniel Lyanga akitua rasmi Simba kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili mdogo, beki wa pembeni wa klabu hiyo, Miraji Adam ameondoka na atajiunga na Coastal Union ya Tanga.

 

11 years ago

GPL

Straika atua Simba kwa ndege

Kikosi cha timu ya Mbeya City. Martha Mboma na Nicodemus Jonas
KUONYESHA kuwa inajipanga kwa ajili ya kufanya kweli msimu ujao, Simba imeanza michakato ya usajili kwa nguvu zote ambapo imeamua kulipa nauli ya ndege kwa mshambuliaji wa Mbeya City, Saady Kipanga ikiwa ni sehemu ya kumshawishi atue klabuni hapo. Kipanga ambaye alionyesha kiwango kizuri msimu uliomalizika hivi karibuni kwenye kikosi cha Mbeya City, amekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani