Kiiza atua rasmi Simba
Timu ya Simba imesema Mganda Hamisi Kiiza atakuwa chachu ya mafanikio katika msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGk0TsP5zYcRdyHNvZ9mPV6rkaCeo1UncrkLTHTy3lrYIZmOD0J7sgakg3B4c4rlg8HPZNs3DYd9MGk0hsdRfSA/ghjj.gif?width=650)
Kiiza atua Dar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Kiiza mchezaji bora Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa timu hiyo, iliyotolewa kabla ya kuanza kwa mazoezi yao Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Kiiza amepewa zawadi ya tuzo yenye picha ya kiatu pamoja na mpira na kiasi cha fedha cha Sh 500,000, akiwapiku wachezaji wenzake ambao nao walikuwa wakiishindania. Tuzo hiyo ya Kiiza imetokana na moto wake wa kufunga mabao Ligi Kuu akiwa kileleni amefunga...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Kiiza aibua mapya Simba
MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza bado amebakisha wiki moja arejee uwanjani katika muda aliopangiwa na daktari wake, lakini sasa ameamua kuja kivingine. Kiiza raia wa Uganda, amesema ameuomba daktari wa Simba, Yassin Gembe amruhusu Jumatano aichezee Simba itakapokuwa inamenyana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kiiza: Simba imebadilika, inakuja kivingine
Straika Hamis Kiiza.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
BAADA ya kufanikiwa kuwasajili Brian Majwega, Paul Kiongera na Danny Lyanga, straika Hamis Kiiza wa Simba amesema kikosi chao kimebadilika na sasa kina mwonekano mpya wa ushindi.
Majwega ni kiungo mshambuliaji kama ilivyo kwa Kiongera wakati Lyanga ni straika, wengine waliosajiliwa na Simba wakati huu ni beki Novatus Lufunga wa African Sports na straika Hija Ugando. Kiiza raia wa Uganda aliyewahi kuichezea Yanga, aliliambia Championi...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Loga awaita Kiiza, Okwi Simba
9 years ago
Habarileo23 Oct
Kiiza awafariji Simba kipigo cha Prisons
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Hamis Kiiza amesema kufungwa na Tanzania Prisons ni changamoto kwao.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Yanga yabanwa, Kiiza arejesha furaha Simba
BAO pekee lililofungwa na Hamisi Kiiza jana liliiwezesha Simba kuibuka kidedea katika mchezo dhidi ya Coastal Union uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
9 years ago
TheCitizen21 Sep
Kiiza hits hat-trick as Simba win 3-1