Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yabanwa, Kiiza arejesha furaha Simba

BAO pekee lililofungwa na Hamisi Kiiza jana liliiwezesha Simba kuibuka kidedea katika mchezo dhidi ya Coastal Union uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu Tanzania Bara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Yanga raha zao, Simba yabanwa

 YANGA jana iliendelea kujiweka vizuri katika harakati zake za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Stand United mabao 4-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa yabanwa, Azam yaipumulia Yanga

WAKATI Mtibwa Sugar jana ikishindwa kung’ara Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, Azam imeendelea kukabana na Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

GPL

SIMBA YABANWA MBAVU NA STAND UNITED, YATOKA 1-1

Kiungo wa Simba SC, Shaban Kisiga (kushoto) akimtoka beki wa Stand United, Reyna Mgungira. SIMBA SC imelazimishwa sare ya tatu mfululizo nyumbani baada ya kufungana bao 1-1 na Stand United ya Shinyanga Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hadi mapumziko, tayari timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Simba SC wakitangulia kupitia kwa Shaban Kisiga dakika ya 35 kabla ya Stand United kusawazisha dakika 10 baadaye. Wafungaji ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba

MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...

 

9 years ago

Mtanzania

Kiiza mchezaji bora Simba

KIIZANA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa timu hiyo, iliyotolewa kabla ya kuanza kwa mazoezi yao Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.

Kiiza amepewa zawadi ya tuzo yenye picha ya kiatu pamoja na mpira na kiasi cha fedha cha Sh 500,000, akiwapiku wachezaji wenzake ambao nao walikuwa wakiishindania. Tuzo hiyo ya Kiiza imetokana na moto wake wa kufunga mabao Ligi Kuu akiwa kileleni amefunga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiiza atua rasmi Simba

Timu ya Simba imesema Mganda Hamisi Kiiza atakuwa chachu ya mafanikio katika msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

 

9 years ago

Habarileo

Kiiza aibua mapya Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza bado amebakisha wiki moja arejee uwanjani katika muda aliopangiwa na daktari wake, lakini sasa ameamua kuja kivingine. Kiiza raia wa Uganda, amesema ameuomba daktari wa Simba, Yassin Gembe amruhusu Jumatano aichezee Simba itakapokuwa inamenyana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Loga awaita Kiiza, Okwi Simba

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yuko tayari kumpokea mshambuliaji yeyote kutoka Yanga iwe Hamis Kiiza au Emmanuel  Okwi kwani anaamini wote wanakiwango cha juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani