Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtibwa yabanwa, Azam yaipumulia Yanga

WAKATI Mtibwa Sugar jana ikishindwa kung’ara Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, Azam imeendelea kukabana na Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam yaipumulia Yanga

TIMU ya soka ya Azam FC imezidi kujiimarisha zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaipumulia Yanga kileleni

Azam FC imefanikiwa kupunguza pengo la pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, baada ya jana kuifunga Kagera Sugar kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam ,Yanga na Mtibwa wakubali sare

Ligi kuu ya Tanzania imeingia kwenye mzunguko wa pili kwa kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali mwishoni mwa juma.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, wanajeshi vitani, Azam, Mtibwa balaa

Zanzibar. Hatua ya robo fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi tatu kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kwa timu sita kushuka viwanjani kwa muda tofauti kusaka tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali.

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

MillardAyo

Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30

Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]

The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani