Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba

MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE

Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.

 

10 years ago

Mwananchi

URA yaichapa Simba kwa mbwembwe

Simba imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya arejesha fomu za urais

Profesa Mark MwandosyaWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amerejesha fomu zake za kuwania kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais.

 

9 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AREJESHA FOMU

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhi fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Bw. Jesha Salim Jecha huko hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Bw. Jesha Salim Jecha akionesha fomu za kugombea Urais wa Zanzibar, baada ya kukabidhiwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, huko hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar. (Picha na Salmin Said,...

 

9 years ago

Habarileo

Seif arejesha fomu ya urais Zanzibar

MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amerudisha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tano huku akisema imani yake kubwa kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki utakaofuata misingi ya uadilifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbwembwe zatawala urejeshaji fomu Chalinze

Mbwembwe na tambo za kisiasa pamoja na shamrashamra mbalimbali zimetokea jana katika Ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Chalinze baada ya wagombea ubunge jimbo hilo kurejesha fomu zao za uteuzi wa ubunge.

 

10 years ago

Habarileo

Kada Chadema arejesha fomu kuwania Nkwela

KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Daniel Ngogo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkwela.

 

9 years ago

Michuzi

DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati  aliporejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani