Kada Chadema arejesha fomu kuwania Nkwela
KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Daniel Ngogo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkwela.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Kada wa CCM Mohammed Hija Arejesha Fomu Yake ya Kugombea Urais leo.


5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema
Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza Bw. Fransico Kimasa Shejamabu ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.
Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Chadema warudisha fomu za kuwania ubunge Bunda
JUMLA ya wanachama 10 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni kati ya wanachama 13 waliokuwa wamechukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Bunda, kupitia tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, wamerudisha fomu.
10 years ago
GPL
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS CHADEMA
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA


10 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani





Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10