Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbwembwe zatawala urejeshaji fomu Chalinze

Mbwembwe na tambo za kisiasa pamoja na shamrashamra mbalimbali zimetokea jana katika Ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Chalinze baada ya wagombea ubunge jimbo hilo kurejesha fomu zao za uteuzi wa ubunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UCHUKUAJI NA UREJESHAJI WA FOMU SERIKALI ZA MITAA LASHIKA KASI


Michael Mgungusi (Chadema) akionyesha fomu yake. Mgombea wa nafasi ya Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mikoroshini, (Chadema) kupitia Ukawa, Yohana Mmbaga (kulia) akipokea fomu ya kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Ofisa Mtendaji wa Mtaa wa Mikoroshini, Furaha Libangu. 

 Mgombea wa nafasi ya Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mikoroshini, (Chadema) kupitia Ukawa, Yohana Mmbaga akisaini fomu zake huku Ofisa Mtendaji wa Mtaa wa Mikoroshini, Furaha Libangu akishuhudia.
 Yohana Mmbaga akionyesha fomu yake.

 

10 years ago

Michuzi

Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni Oktoba 10

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki. Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.Na Mwandishi Wetu, Mtwara 
 WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. 
 Akizungumzia zoezi hilo jana mchana, Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Statoil Tanzania, Erick Mchome aliwataka vijana waliochukua fomu zao kuzirejesha mapema ili kujipatia...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni leo

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki. Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbaliVijana katika biashara ya uuzaji samaki. Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki. Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.
Na Mwandishi Wetu, Mtwara WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa leo majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. Akizungumzia zoezi hilo juzi mchana,...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA- UREJESHAJI FOMU ZA TAMKO LA MALI NA MADENI

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, inawataarifu Viongozi wote wa Umma nchini kwamba tarehe ya mwisho ya kurejesha Fomu za kutolea TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI ya viongozi kwa Kamishna wa Maadili kwa mwaka huu ni tarehe 31/12/2014. Fomu hizo za kutolea tamko zimeanza kutolewa na zinapatikana katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma makao makuu Dar es Salaam na katika ofisi za Kanda za Mashariki Kibaha, Arusha, Dodoma, Tabora, Mwanza, Mbeya na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwisho urejeshaji fomu shindano la mashujaa wa kesho ni kesho

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali

Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali

Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki.1

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.

Na Mwandishi Wetu, Mtwara

WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.

Akizungumzia zoezi hilo jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba

MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...

 

11 years ago

GPL

WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE

Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani