Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni leo
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.
Na Mwandishi Wetu, Mtwara WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa leo majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. Akizungumzia zoezi hilo juzi mchana,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi09 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni Oktoba 10
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana mchana, Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Statoil Tanzania, Erick Mchome aliwataka vijana waliochukua fomu zao kuzirejesha mapema ili kujipatia...
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mwisho urejeshaji fomu shindano la mashujaa wa kesho ni kesho
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
![Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-mapambo-mbalimbali.jpg)
Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
![Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-ukaangaji-na-uuzaji-samaki..jpg)
Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Washiriki Shindano la mashujaa wa kesho waanza kurejesha fomu
![Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Chumba-cha-kompyuta-cha-washiriki-wa-Shindano-la-Mashujaa-wa-Kesho..jpg)
Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.
Baadhi ya washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho wakipitia fomu zao.
Na Mwandishi Wetu
ZOEZI la uchukuaji fomu kwa ajili ya vijana mbalimbali kushiriki katika Shindano la Mashujaa wa Kesho la Statoil limeendelea kushika kasi huku idadi kubwa ya vijana wakiendelea kurejesha fomu kwa lengo la kushiriki katika kinyang’anyiro hicho.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Ofisa Mawasiliano wa Statoil Tanzania, Erick...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rmu0fSrMS3Q/VILVLimOMAI/AAAAAAACwA4/SzkPnvsuvo8/s72-c/Picha%2B1%2C%2BMkurugenzi%2Bwa%2BKampuni%2Bya%2Bstatoil%2Bbwana%2BOystein%2BMichelsen.jpg)
STATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s72-c/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s1600/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mbwembwe zatawala urejeshaji fomu Chalinze
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Fomu CHADEMA mwisho leo
IKIWA leo zoezi la kuchukua na kurejesha fomu za kugombea nafasi za juu za taifa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wagombea wa nafasi za mabaraza na chama hicho...
10 years ago
VijimamboUCHUKUAJI NA UREJESHAJI WA FOMU SERIKALI ZA MITAA LASHIKA KASI
Michael Mgungusi (Chadema) akionyesha fomu yake.
Mgombea wa nafasi ya Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mikoroshini, (Chadema) kupitia Ukawa, Yohana Mmbaga akisaini fomu zake huku Ofisa Mtendaji wa Mtaa wa Mikoroshini, Furaha Libangu akishuhudia.
Yohana Mmbaga akionyesha fomu yake.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3Amk0YJXXDc/VE5QH1aH80I/AAAAAAAGtl8/DFzZ3V60g9E/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-27%2Bat%2B4.59.22%2BPM.png)
TAARIFA KWA UMMA- UREJESHAJI FOMU ZA TAMKO LA MALI NA MADENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3Amk0YJXXDc/VE5QH1aH80I/AAAAAAAGtl8/DFzZ3V60g9E/s1600/Screen%2BShot%2B2014-10-27%2Bat%2B4.59.22%2BPM.png)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10