STATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rmu0fSrMS3Q/VILVLimOMAI/AAAAAAACwA4/SzkPnvsuvo8/s72-c/Picha%2B1%2C%2BMkurugenzi%2Bwa%2BKampuni%2Bya%2Bstatoil%2Bbwana%2BOystein%2BMichelsen.jpg)
Kampuni ya Statoil Tanzania imewatangaza na kuwazawadia washindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamisi Desemba 4. Mashujaa wa Kesho ni shindano la biashara lililoandaliwa kwa lengo la kukuza dhana ya ujasiriamali kwa vijana mkoani Mtwara.
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s72-c/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s1600/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mwisho urejeshaji fomu shindano la mashujaa wa kesho ni kesho
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
![Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-mapambo-mbalimbali.jpg)
Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.
![Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-ukaangaji-na-uuzaji-samaki..jpg)
Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s72-c/1.jpg)
BENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA 'TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO'
![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uYWpe-7dr4k/Vmp5g2zGE5I/AAAAAAABlcI/aJImTjS_zFI/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uf3GYoslWlY/Vmp5k8Rj--I/AAAAAAABlcc/MrMmKLw5vkc/s640/7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s72-c/Vodacom_League_logo_3D.png)
VODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s640/Vodacom_League_logo_3D.png)
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Washiriki Shindano la mashujaa wa kesho waanza kurejesha fomu
![Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Chumba-cha-kompyuta-cha-washiriki-wa-Shindano-la-Mashujaa-wa-Kesho..jpg)
Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.
Baadhi ya washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho wakipitia fomu zao.
Na Mwandishi Wetu
ZOEZI la uchukuaji fomu kwa ajili ya vijana mbalimbali kushiriki katika Shindano la Mashujaa wa Kesho la Statoil limeendelea kushika kasi huku idadi kubwa ya vijana wakiendelea kurejesha fomu kwa lengo la kushiriki katika kinyang’anyiro hicho.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Ofisa Mawasiliano wa Statoil Tanzania, Erick...
10 years ago
Michuzi09 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni Oktoba 10
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana mchana, Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Statoil Tanzania, Erick Mchome aliwataka vijana waliochukua fomu zao kuzirejesha mapema ili kujipatia...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni leo
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
![Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-mapambo-mbalimbali.jpg)
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki.1.jpg)
![Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-ukaangaji-na-uuzaji-samaki..jpg)
Na Mwandishi Wetu, Mtwara WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa leo majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. Akizungumzia zoezi hilo juzi mchana,...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Shule Direct Tanzania yatoa zawadi kwa washindi wa Insha “A-Level-Category”
Wanafunzi wakipata Selfie ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shule Direct, Bi. Faraja Nyalandu.
Shule Direct ni taasisi binafsi inayojishughulisha na kutoa elimu kwa njia ya mtandao na teknolojia ya kidijiti. Kila mwaka Shule Direct huendesha mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa “O-Level” na “A-Level”; Mashindano hayo yapo wazi kwa shule zote za sekondari Tanzania kushiriki.
Tarehe 9/09/2015 Shule Direct kwa kushirikiana na taasisi ya Flaviana Matata Foundation, Samsung Tanzania,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctjjyW6Ov-99Mur938g79VwyFSlUcoCuf2Z40pvh5r1E9xEFbgYZCZo3maOSzZe44bJSUuQ6DJ-V21r1mJOXqCx/001.APPSTAR.jpg?width=650)
WASHINDI WA SHINDANO LA APPSTAR WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO