Shule Direct Tanzania yatoa zawadi kwa washindi wa Insha “A-Level-Category”
Wanafunzi wakipata Selfie ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shule Direct, Bi. Faraja Nyalandu.
Shule Direct ni taasisi binafsi inayojishughulisha na kutoa elimu kwa njia ya mtandao na teknolojia ya kidijiti. Kila mwaka Shule Direct huendesha mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa “O-Level” na “A-Level”; Mashindano hayo yapo wazi kwa shule zote za sekondari Tanzania kushiriki.
Tarehe 9/09/2015 Shule Direct kwa kushirikiana na taasisi ya Flaviana Matata Foundation, Samsung Tanzania,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rmu0fSrMS3Q/VILVLimOMAI/AAAAAAACwA4/SzkPnvsuvo8/s72-c/Picha%2B1%2C%2BMkurugenzi%2Bwa%2BKampuni%2Bya%2Bstatoil%2Bbwana%2BOystein%2BMichelsen.jpg)
STATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
Kampuni ya Statoil Tanzania imewatangaza na kuwazawadia washindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamisi Desemba 4. Mashujaa wa Kesho ni shindano la biashara lililoandaliwa kwa lengo la kukuza dhana ya ujasiriamali kwa vijana mkoani Mtwara.
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
10 years ago
GPLFASDO YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA ‘NA MIMI NIPO- ONLINE ARTS & SCIENCE COMPETITION’
Baadhi ya kazi za washiriki zikioneshwa. Kikundi cha ngoma za asili cha FASDO Arts Group kikitumbuiza kabla ya zoezi la kutoa zawadi kwa washindi.…
11 years ago
MichuziSamsung Tanzania yakabidhi zawadi kwa washindi wake
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s72-c/Vodacom_League_logo_3D.png)
VODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s640/Vodacom_League_logo_3D.png)
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...
10 years ago
MichuziBOA Tanzania yakabidhi zawadi mbali mbali kwa washindi wake leo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-25a9z9DzOQ8/VOJKTU1PXCI/AAAAAAAAqFs/9i8MSwTXC1U/s72-c/B2.jpg)
ECOBANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA WATEJA WAKE SIKU YA WAPENDANAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-25a9z9DzOQ8/VOJKTU1PXCI/AAAAAAAAqFs/9i8MSwTXC1U/s1600/B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HaFpNnZsVNs/VOJKUGZwNlI/AAAAAAAAqF0/o8p8gbovDdQ/s1600/V3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OYROYfPsACQ/VFCqE7BLvAI/AAAAAAAGuAI/7ZuhV9XPvhg/s72-c/Untitleda.png)
NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE
BENKI ya NMB Jana ilikabidhii zawadi kwa washindi wa promosheni ya Weka na Ushinde. Zaidi ya wateja 165 walijishindia zawadi mbali mbali ikiwa ni: washindi 17 wa Bajaj, wa Pikipiki aina ya ‘Boxer’ 16 na Baiskeli aina ya ‘Phoenix’ 137.
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XEhhJvXRIpI/XslOMdtlKQI/AAAAAAALrXQ/D67SUerkYFYbdvkpfF-VZ6k_nq1O4Hn0QCLcBGAsYHQ/s72-c/fc6c881d-ca30-4bb3-a99b-485215cfe963.jpg)
WASHINDI WA MASHINDANO YA QURAN TUKUFU KWA NJIA YA MTANDAO WAKABIDHIWA ZAWADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEhhJvXRIpI/XslOMdtlKQI/AAAAAAALrXQ/D67SUerkYFYbdvkpfF-VZ6k_nq1O4Hn0QCLcBGAsYHQ/s640/fc6c881d-ca30-4bb3-a99b-485215cfe963.jpg)
MRATIBU wa mashindano ya Quran kwa njia ya Mtandao, Mohamed Abdallah (kulia) akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mashindano ya Quran kwa wanawake, Aisha Faki Juma, yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhisha Quran Tukufu Tanzania, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika katika ukumbi wa Arnatoglou jijini Dar es Salaam, jana. Katikati ni Balozi wa Tuzo za Kimataifa za Quran Tukufu 2020, Zena Abubakar. (Picha na Muhidin Sufiani).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3a3fc971-bb97-4825-a593-da0a1d4e9854.jpg)
MGENI rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9cShK2foXnM/Va-hWz-isdI/AAAAAAAHrD0/YndRxZCO_NQ/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
BENKI YA KCB TANZANIA YATOA MSAADA WA MADWATI 1000 KWA SHULE KUMI ZA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-9cShK2foXnM/Va-hWz-isdI/AAAAAAAHrD0/YndRxZCO_NQ/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b5ENpZYD5Rw/Va-hWx0KYVI/AAAAAAAHrDw/GAGmLD_sxNU/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania