FASDO YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA ‘NA MIMI NIPO- ONLINE ARTS & SCIENCE COMPETITION’
Baadhi ya kazi za washiriki zikioneshwa. Kikundi cha ngoma za asili cha FASDO Arts Group kikitumbuiza kabla ya zoezi la kutoa zawadi kwa washindi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBALOZI DKT. KAMALA MGENI RASMI KATIKA UTOWAJI WA ZAWADI KWA WASHINDI WA ‘NA MIMI NIPO- ONLINE ARTS & SCIENCE COMPETITION LILILO ANDALIWA NA FASDO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboBALOZI DKT. DIODORUS BUBERWA MGENI RASMI KATIKA UTOWAJI WA ZAWADI KWA WASHINDI WA ‘NA MIMI NIPO- ONLINE ARTS & SCIENCE COMPETITION LILILO ANDALIWA NA FASDO.
Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akizungumza jambo wakati wa sherehe hizo Mratibu wa shindano hilo, Joyce Msigwa akizungumza...
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
Balozi Dkt. Diodorus Buberwa mgeni rasmi katika utowaji wa zawadi kwa washindi wa “Na Mimi Nipo- Online Arts & Science Competition”
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa akizungumza wakati wa sherehe hiyo.
Meza Kuu, kuanzia kushoto ni Mratibu Mkuu wa FASDO nchini, Joyce Msigwa, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Urusi nchini, Alexander Tsykunov na mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande.
Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akizungumza jambo wakati wa sherehe hizo.
Mratibu wa shindano hilo, Joyce Msigwa...
10 years ago
MichuziSTATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Shule Direct Tanzania yatoa zawadi kwa washindi wa Insha “A-Level-Category”
Wanafunzi wakipata Selfie ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shule Direct, Bi. Faraja Nyalandu.
Shule Direct ni taasisi binafsi inayojishughulisha na kutoa elimu kwa njia ya mtandao na teknolojia ya kidijiti. Kila mwaka Shule Direct huendesha mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa “O-Level” na “A-Level”; Mashindano hayo yapo wazi kwa shule zote za sekondari Tanzania kushiriki.
Tarehe 9/09/2015 Shule Direct kwa kushirikiana na taasisi ya Flaviana Matata Foundation, Samsung Tanzania,...
11 years ago
MichuziSamsung Tanzania yakabidhi zawadi kwa washindi wake
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
5 years ago
MichuziWASHINDI WA MASHINDANO YA QURAN TUKUFU KWA NJIA YA MTANDAO WAKABIDHIWA ZAWADI
MRATIBU wa mashindano ya Quran kwa njia ya Mtandao, Mohamed Abdallah (kulia) akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mashindano ya Quran kwa wanawake, Aisha Faki Juma, yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhisha Quran Tukufu Tanzania, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika katika ukumbi wa Arnatoglou jijini Dar es Salaam, jana. Katikati ni Balozi wa Tuzo za Kimataifa za Quran Tukufu 2020, Zena Abubakar. (Picha na Muhidin Sufiani).
MGENI rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya...
10 years ago
MichuziVODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...