MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA

Mafunzo ya elimu na ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa Kesho yanayoratibiwa na kampuni ya Statoil Tanzania, yenye lengo la kumjenga kijana kuwa mjasiriamali yamekamilika hivi karibuni.
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Washiriki Shindano la mashujaa wa kesho waanza kurejesha fomu

Chumba cha kompyuta cha washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho.
Baadhi ya washiriki wa Shindano la Mashujaa wa Kesho wakipitia fomu zao.
Na Mwandishi Wetu
ZOEZI la uchukuaji fomu kwa ajili ya vijana mbalimbali kushiriki katika Shindano la Mashujaa wa Kesho la Statoil limeendelea kushika kasi huku idadi kubwa ya vijana wakiendelea kurejesha fomu kwa lengo la kushiriki katika kinyang’anyiro hicho.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Ofisa Mawasiliano wa Statoil Tanzania, Erick...
10 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO

10 years ago
Michuzi
STATOIL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO
Bwana Nassibu Hamimu Lilumba ameibuka mshindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho baada ya kutoa wazo la biashara na kIsha kuandaa mpango wa biashara na kutoa maelezo yake katika jopo la majaji. Mshindi alizawadiwa fedha...
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mwisho urejeshaji fomu shindano la mashujaa wa kesho ni kesho

Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali
Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.

Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana...
10 years ago
Michuzi09 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni Oktoba 10

WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa hapo kesho majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda.
Akizungumzia zoezi hilo jana mchana, Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Statoil Tanzania, Erick Mchome aliwataka vijana waliochukua fomu zao kuzirejesha mapema ili kujipatia...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni leo




Na Mwandishi Wetu, Mtwara WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa leo majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. Akizungumzia zoezi hilo juzi mchana,...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Tigo Welcome Pack yamalizika kwa kishindo mjini Mtwara
Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile mwenye kofia akikagua basi la kampuni ya Tigo linalotumika kutoa huduma zake kwa wananchi walio vijijini kwenye kampeni ya welcome pack, kushoto kwake ni Meneja wa Tigo kanda ya kusini, Daniel Mainoya.wengine ni baadhi ya wateja wa kampuni hiyo waliyoenda kufahamu zaidi huduma zitolewazo na kampuni hiyo kwenye tamasha lililofanyika uwanja wa Nangwanda Mkoani Mtwara.
Wasanii wa kundi la Origino Komedi wakionesha shoo wakati wa tamasha la Tigo welcome...
10 years ago
Michuzi
Kambi ya mafunzo kwa Vijana yamalizika jijini Dar


10 years ago
GPLAIRTEL KUWAPATIA VIJANA ZAIDI YA 500 ELIMU YA UJASIRIAMALI MKOANI ARUSHA