Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T.I ATUA DAR MCHANA WA LEO

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ametua Dar mchana wa leo kutumbuiza katika tamasha la Serengeti Fiesta Dar usiku wa leo.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Mrithi wa Domayo atua leo mchana

Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Na Sweebert Lukonge
KIUNGO wa Yanga, Omega Seme, aliyerudishwa hivi karibuni katika klabu hiyo akitokea Prisons ya jijini Mbeya alikokuwa akicheza soka kwa mkopo, anatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo. Inaelezwa kuwa kiungo huyo atakwenda klabuni moja kwa moja na jukumu kubwa atakalopewa ni kuziba pengo lililoachwa na Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Hivi karibuni, Domayo ambaye alikuwa...

 

11 years ago

GPL

Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

 

10 years ago

GPL

ENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA

Taswila ya muonekano wa eneo la Bamaga baada ya mvua kunyesha. Watembea kwa miguu wakionekana kupita kwa taabu.
.. Maji yakionekana kupungua katikati ya…

 

10 years ago

Dewji Blog

Majambazi yatikisa katikati ya jiji la Dar leo mchana yatiwa mbaroni

Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne.

Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.

Watuhumiwa hao wanne wa  ujambazi  wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi.

Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa...

 

9 years ago

Michuzi

MWANAMZIKI,ARJUNI ATUA DAR LEO

Mwanamziki wa Uingereza,Arjun Coomeraswamy akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani)juu ya ujio na kukutana na watu mbalimbali katika Ukumbi wa Viva Tower jijini Dar es Salaam na  Jumamosi atafanya shoo Zanzibar katika ukumbi wa Kendwa Rocks Beach Resort iliyofanyika leo katika ukumbi wa New Afrika jijini Dar es Salaam.Mkuu Kitengo  wa kinywaji cha John Worker na Masoko na uboreshaji,Stanley Samtu akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya udhamini wa mwanamziki...

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA YATIWA MBARONI

 Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne. Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
 Watuhumiwa hao wanne wa  ujambazi  wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi. Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa kuwadhibiti...

 

10 years ago

Vijimambo

Majambazi Sugu Wakamatwa Mchana Wa Leo Jijini Dar Wakitaka Kuiba Benki Ya NMB


Majambazi hao wakiwa wametiwa pingu baada ya kukamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar. Wananchi wakiwa eneo la Benki ya NMB Sinza-Mori, Dar wakifuatilia tukio hilo. Polisi jijini Dar wamewakamata watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kuiba pesa katika benki ya NMB iliyopo Sinza-Mori, Dar es Salaam.Tukio hilo limetokea mchana wa leo katika Benki ya NMB tawi la Sinza-Mori jijini Dar ambapo majambazi hao walikamatwa wakiwa katika harakati za kutekeleza tukio hilo.Majambazi...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ......MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR LEO MCHANA, YATIWA NGUVUNI NA JESHI LA POLISI

 Mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne. Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa. Watuhumiwa hao wanne wa  ujambazi  wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi. Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa kuwadhibiti majambazi hayo kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani