MWANAMZIKI,ARJUNI ATUA DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsXxHykULVE/VhZzv1pFzbI/AAAAAAAH94c/IIoqSeN0g0A/s72-c/IMG_1800.jpg)
Mwanamziki wa Uingereza,Arjun Coomeraswamy akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)juu ya ujio na kukutana na watu mbalimbali katika Ukumbi wa Viva Tower jijini Dar es Salaam na Jumamosi atafanya shoo Zanzibar katika ukumbi wa Kendwa Rocks Beach Resort iliyofanyika leo katika ukumbi wa New Afrika jijini Dar es Salaam.
Mkuu Kitengo wa kinywaji cha John Worker na Masoko na uboreshaji,Stanley Samtu akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya udhamini wa mwanamziki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
T.I ATUA DAR MCHANA WA LEO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/WIZKID-IN-DAR-2.jpg)
WIZKID ATUA DAR, TAYARI KWA SHOO YAKE LEADERS LEO
10 years ago
GPLMWIMBA INJILI REBBECA MALOPE ATUA DAR, KUINOGESHA SIKUKUU YA PASAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s72-c/IMG_1511.jpg)
BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s1600/IMG_1511.jpg)
MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zqLCj82mPHw/VGhTp-wN13I/AAAAAAABFbk/TjorHg6pPII/s1600/IMG_1439.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K5zLRw7wdGU/VGhTpUKAAdI/AAAAAAABFbg/VqFk6TAxP8U/s1600/IMG_1451.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2f_pLHiYwCU/U5iVDgMHbQI/AAAAAAAFpzQ/sfGRedTFi6Y/s72-c/unnamed+(69).jpg)
JK ATUA DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-2f_pLHiYwCU/U5iVDgMHbQI/AAAAAAAFpzQ/sfGRedTFi6Y/s1600/unnamed+(69).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Vht6gFvr0JA/VXwqj_VIqmI/AAAAAAAHfK8/X9UWwXnuMIY/s72-c/MMGL0753.jpg)
LOWASSA ATUA KIGOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vht6gFvr0JA/VXwqj_VIqmI/AAAAAAAHfK8/X9UWwXnuMIY/s640/MMGL0753.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--4kM1gcTAlk/VXwqoX9-Q5I/AAAAAAAHfLE/9As1JH7Jw3Q/s640/MMGL0779.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDVlr-85bb0/VXwsEE6kOFI/AAAAAAAHfLQ/MneE7akQd2A/s640/MMGL0804.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-exS0vTEeFew/VXwscDsei7I/AAAAAAAHfLg/5h8JW9-Q-qY/s640/MMGL0806.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U2td5NnwGwQ/VXwsiK6BR7I/AAAAAAAHfLo/AHcnkROrCJk/s640/MMGL0846.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro0ohKMX7o8/VXwvN3bsjgI/AAAAAAAHfMA/4j3J1-HcNNo/s640/MMGL0868.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pMcZqybOOV0/UxxR6yvHz6I/AAAAAAAFSXw/wZZIId5E5ns/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK atua mjini DODOMA leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMcZqybOOV0/UxxR6yvHz6I/AAAAAAAFSXw/wZZIId5E5ns/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bbnF3tYxFic/UxxR6-tfvrI/AAAAAAAFSX0/ccM_4GFGdn4/s1600/unnamed+(17).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBpb1nD*k6CjNPU-yZCpX2h76ZZFwjzEta3T2S9j5nQ1EPYF55TOgpmgyu-tqSCr6d46F0Ehy419*r9TKG3JUDm/DOMAYOO.gif?width=650)
Mrithi wa Domayo atua leo mchana
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10