LOWASSA ATUA KIGOMA LEO

Wananchi wa Mji wa Kigoma wakiwa wamejipanga kando ya Barabara kuu ya Kutoka Ujiji, kumpokea Mtangaza nia ya Kuwania Urais kwa tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Mtangaza nia ya Kuwania Urais kwa tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkoani wana CCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma waliofika kumlaki kwenye Ofisi Kuu za CCM mkoani hapo.
Mh. Lowassa akisani kitabu cha wageni kwenye Ofisi Kuu za CCM Mkoani Kigoma leo, Kulia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu (NEC),...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MH. LOWASSA ATUA KIGOMA LEO, AKOMBA WADHAMINI 11,250


10 years ago
Michuzi
LOWASSA ATUA SINGIDA MJINI LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA


10 years ago
Michuzi
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI MKOANI KIGOMA LEO


11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ATUA KIGOMA, AKUTANA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Lowassa atua Zanzibar

Waziri Mkuu wa zamani naMbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa, (kulia), akipokewa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini Unguja, Borafia Silima Juma, wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mkoa wa Mjini, Unguja Jumamosi usiku, Juni 6, 2015. Mh. Lowassa, yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA)

10 years ago
Michuzi
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI


10 years ago
Mwananchi24 Sep
Lowassa atua kwa Nape, Sumaye, Tambwe wamvaa
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA ATIKISA MKOANI KIGOMA


10 years ago
Michuzi
LOWASSA ATUA MPANDA KWA CHOPA, APATA MAPOKEZI MAKUBWA

