LOWASSA ATIKISA MKOANI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7aja5U0esQ/Venv5b-HCiI/AAAAAAAABCM/hbRPw7ksRrY/s72-c/OTH_6030.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akitembelea kuelekea kwenye Helkopta anayoitumia kwa ziara za Kampeni, iliyokuwepo kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda, alipokuwa akielekea Mkoani Kigoma kuendelea na ziara zake ya Kampeni, Septemba 4, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s640/OTH_5312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XISrfWvgIxs/VfmOQYRE37I/AAAAAAAACJU/LbEyzMAKWuA/s640/OTH_5333.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y5_CfH5xEH8/Venv9YiifuI/AAAAAAAABCc/25eQiAR4RFE/s72-c/OTH_6079.jpg)
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI MKOANI KIGOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y5_CfH5xEH8/Venv9YiifuI/AAAAAAAABCc/25eQiAR4RFE/s640/OTH_6079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yv671BpfmiM/Venv9WKBGEI/AAAAAAAABCo/x3YCkfWxKk0/s640/OTH_6085.jpg)
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Lowassa atikisa ngome ya Zitto
NA MAREGESI PAUL, KIGOMA
MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.
Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.
Akizungumza...
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Lowassa atikisa makao makuu ya CCM
![MTZ jmosi new.indd](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mtz13-300x267.jpg)
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, jana alitikisa mji wa Dodoma ambao ni Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea wakati wa mkutano wa kampeni za urais za mgombea huyo ambapo maelfu ya wananchi wa Dodoma walihudhuria mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Barafu mjini hapa.
Kabla ya mkutano...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Magufuli-nyamongo-1.jpg?width=650)
MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s72-c/1.jpg)
LOWASSA ATIKISA MUSOMA, BUNDA NA TARIME, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mvsuzppph0M/VXcptgMglGI/AAAAAAAHdc4/lVkYQX9VH3s/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQ_MfQE9xWc/VXcpsKqIAUI/AAAAAAAHdck/o3OQnzCG9Vw/s640/11.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s72-c/_MG_9396.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s640/_MG_9396.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tf4ysVeGSyc/VgKSL9CumSI/AAAAAAAH65Q/-UpGwIDbb8E/s640/_MG_9409.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s72-c/MMGL0022.jpg)
MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA DUMILA MKOANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s640/MMGL0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6W_NRM0TGkw/VZLbiCyUGnI/AAAAAAAHl9o/v2F3SMaMI9I/s640/MMGL0034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5P05tOBzsI/VZLbrLo7HaI/AAAAAAAHl98/X20c0JUTMZA/s640/MMGL0043.jpg)