LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnaji Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato, Dkt. Benedicto Lukanima, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-EX8WAuzGmzg/VXXhw4vEoSI/AAAAAAAAUrw/JhLAaGLm3Dw/s640/Lowassa_Geita%2BCCM%2Bwilaya.jpg)
LOWASSA AZOA WADHAMINI 3,000 GEITA, CHATO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s72-c/_MG_9396.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DaXAaOu2CAs/VgKSL-uIv3I/AAAAAAAH65M/8Y-sat3shOc/s640/_MG_9396.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tf4ysVeGSyc/VgKSL9CumSI/AAAAAAAH65Q/-UpGwIDbb8E/s640/_MG_9409.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha
![](http://2.bp.blogspot.com/-EX8WAuzGmzg/VXXhw4vEoSI/AAAAAAAAUrw/JhLAaGLm3Dw/s640/Lowassa_Geita%2BCCM%2Bwilaya.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qWMu48k9v3g/VXXhyrhR9lI/AAAAAAAAUr4/jgBv8RACYVk/s640/Geita%2Bjuu%2Bya%2Bnyumba.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-S7aja5U0esQ/Venv5b-HCiI/AAAAAAAABCM/hbRPw7ksRrY/s72-c/OTH_6030.jpg)
LOWASSA ATIKISA MKOANI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7aja5U0esQ/Venv5b-HCiI/AAAAAAAABCM/hbRPw7ksRrY/s640/OTH_6030.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y5_CfH5xEH8/Venv9YiifuI/AAAAAAAABCc/25eQiAR4RFE/s640/OTH_6079.jpg)
5 years ago
MichuziPICHA MBALIMBALI ZIKIONESHA RAIS MAGUFULI ALIPOWASI CHATO MKOANI GEITA AKITOKEA DODOMA.
Mhe. Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Chato na kisha kuelekea nyumbani kwake katika kitongoji cha Lubambangwe, Kijiji cha Mlimani Wilayani Chato.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b6zzWaYZZ4/XqCezmIkAXI/AAAAAAALn64/EWUIvjvKyO8N_z8bbUFiJuMQ_1LY-njQwCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
10 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 165 KWA AJILI YA MASHINE YA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI, CHATO MKOANI GEITA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s72-c/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA IJUMAA KUU KANISA LA MTAKATIFU YOHANA- MARIA MZEYI PAROKIA YA MLIMANI CHATO MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s640/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/63292c12-fb33-458a-8972-d8fe5d5ac283.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fb4299d6-3ff1-4c5c-9a45-7291781b7623.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana-Maria Mzeyi Parokia ya Mlimani Chato mkoani Geita leo tarehe 10/04/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fd2ad711-e137-404a-9ccb-732e6010ccd7.jpg)