PICHA MBALIMBALI ZIKIONESHA RAIS MAGUFULI ALIPOWASI CHATO MKOANI GEITA AKITOKEA DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma.
Mhe. Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Chato na kisha kuelekea nyumbani kwake katika kitongoji cha Lubambangwe, Kijiji cha Mlimani Wilayani Chato.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/i6oyEuQ3tSY/default.jpg)
LIVE ;RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI SINGIDA AKITOKEA CHATO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 20 may 2020 akizungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali waliokuwepo njiani wakimsubiri alipokuwa akipita akitokea Chato Mkoani Geita akielekea Jijini Dodoma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b6zzWaYZZ4/XqCezmIkAXI/AAAAAAALn64/EWUIvjvKyO8N_z8bbUFiJuMQ_1LY-njQwCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s72-c/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA IJUMAA KUU KANISA LA MTAKATIFU YOHANA- MARIA MZEYI PAROKIA YA MLIMANI CHATO MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s640/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/63292c12-fb33-458a-8972-d8fe5d5ac283.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fb4299d6-3ff1-4c5c-9a45-7291781b7623.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana-Maria Mzeyi Parokia ya Mlimani Chato mkoani Geita leo tarehe 10/04/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fd2ad711-e137-404a-9ccb-732e6010ccd7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1255.jpg)
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1255.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-28-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s640/OTH_5312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XISrfWvgIxs/VfmOQYRE37I/AAAAAAAACJU/LbEyzMAKWuA/s640/OTH_5333.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nJcncdSRFLU/VlAuMbtCVrI/AAAAAAAIHdQ/B3_evbBSjF0/s72-c/1.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI ZA RAIS MAGUFULI ALIPOLIHUTUBIA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nJcncdSRFLU/VlAuMbtCVrI/AAAAAAAIHdQ/B3_evbBSjF0/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FEx1v8p2TCs/VlAuRGAYV7I/AAAAAAAIHeY/YI03LeGcJ1s/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--QyRgwnciiQ/VlAuRPGq3YI/AAAAAAAIHeU/NO7pzZiPvMs/s640/19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hzRznfyREcY/VlAubvRJtjI/AAAAAAAIHfA/2ujnU8oei1U/s640/20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CTbh26U-uCE/VlAuUys-HII/AAAAAAAIHe8/MQ_Peyj_7f8/s640/24.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO, GEITA
  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jana jioni katika viwanja vya Mji mdogo wa Muganza, wilayni Chato Mkoani Geita, Mh. Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.  Dkt. Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM. Mh. Magufuli...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania