LIVE ;RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI SINGIDA AKITOKEA CHATO
![](https://img.youtube.com/vi/i6oyEuQ3tSY/default.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 20 may 2020 akizungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali waliokuwepo njiani wakimsubiri alipokuwa akipita akitokea Chato Mkoani Geita akielekea Jijini Dodoma.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPICHA MBALIMBALI ZIKIONESHA RAIS MAGUFULI ALIPOWASI CHATO MKOANI GEITA AKITOKEA DODOMA.
Mhe. Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Chato na kisha kuelekea nyumbani kwake katika kitongoji cha Lubambangwe, Kijiji cha Mlimani Wilayani Chato.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/g6FLD1i0C6s/default.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MBALIMBALI
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s72-c/_MG_1885.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WANANCHI WA CHATO KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s640/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9dkgZrsmSDw/Xn-X5-hqzOI/AAAAAAALla8/F8KYvCDAWqktKNyddJB54JBt8gVD3ADfgCLcBGAsYHQ/s640/JPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO%2B2.jpg)
Mhe. Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi wenzake huku wakinywa kahawa pamoja na amewatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua maboga hayo kwa ajili ya chakula chake cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b6zzWaYZZ4/XqCezmIkAXI/AAAAAAALn64/EWUIvjvKyO8N_z8bbUFiJuMQ_1LY-njQwCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s72-c/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA IJUMAA KUU KANISA LA MTAKATIFU YOHANA- MARIA MZEYI PAROKIA YA MLIMANI CHATO MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jg89JC7RB1I/XpC3osvQBGI/AAAAAAALmvc/Elc2J9LarDE06VAhMgF2eW8WKbUucLtNwCLcBGAsYHQ/s640/206a8684-7873-4908-87ef-00f54da83e93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/63292c12-fb33-458a-8972-d8fe5d5ac283.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fb4299d6-3ff1-4c5c-9a45-7291781b7623.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana-Maria Mzeyi Parokia ya Mlimani Chato mkoani Geita leo tarehe 10/04/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/fd2ad711-e137-404a-9ccb-732e6010ccd7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1255.jpg)
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1255.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-28-scaled.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...