RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WANANCHI WA CHATO KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.
Mhe. Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi wenzake huku wakinywa kahawa pamoja na amewatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua maboga hayo kwa ajili ya chakula chake cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/i6oyEuQ3tSY/default.jpg)
LIVE ;RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI SINGIDA AKITOKEA CHATO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 20 may 2020 akizungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali waliokuwepo njiani wakimsubiri alipokuwa akipita akitokea Chato Mkoani Geita akielekea Jijini Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10-768x683.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato
![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s640/2-10-768x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-15-1024x913.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/16-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/12-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-2-925x1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TNqWuQhw2sU/VKfnTjXkFTI/AAAAAAAG7CQ/bR88kv-6Os4/s72-c/IMG-20150103-WA018.jpg)
Mh. Magufuli akutana na Watendaji wa CCM jimbo la Chato
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNqWuQhw2sU/VKfnTjXkFTI/AAAAAAAG7CQ/bR88kv-6Os4/s1600/IMG-20150103-WA018.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wbPxcHAymfI/VKfnUN-5LyI/AAAAAAAG7CY/TpENZWxsCBU/s1600/IMG-20150103-WA016.jpg)
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...
10 years ago
Vijimambo12 Jan
Chadema wamtaka Magufuli asiwabague wananchi Chato
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Magufulii(14)(1).jpg)
Chadema walitoa tahadhari hiyo baada ya Dk. Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, hivi karibuni kudai atapeleka fedha za Mfuko wa Jimbo katika vijiji na vitongoji walivyoshinda wagombea wa CCM...
9 years ago
CCM Blog07 Nov
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA TAWALA CHA CHINA
![po2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po2.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano(picha na Freddy Maro).
![po3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/po3.jpg)
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipiga picha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam .Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KINKHCPNJno/Xn9HE9UqBVI/AAAAAAAAxSI/Py8ij_3wau4ymIhkRrinLmrdKw2MFhL_ACLcBGAsYHQ/s72-c/EUMlEpfXQAcKCKT.jpg)
RAIS MAGUFULI AWASILI CHATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-KINKHCPNJno/Xn9HE9UqBVI/AAAAAAAAxSI/Py8ij_3wau4ymIhkRrinLmrdKw2MFhL_ACLcBGAsYHQ/s640/EUMlEpfXQAcKCKT.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qs5gO909NJ8/Xn9HFC16CYI/AAAAAAAAxSM/yd-alR4jPcYKf_XeEJJy0AVgWZJ-uMQFgCLcBGAsYHQ/s640/EUMlEpfWAAEem4P.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0A1hE6MxceM/Xn9HG-6qHVI/AAAAAAAAxSQ/YAfNWF-m1BwCCs3LuCuNr552NN4a8lmoQCLcBGAsYHQ/s640/EUMlEpjWsAAq-l9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yy5FqSuOsp4/Xn9HEz6W1GI/AAAAAAAAxSE/me753jVehGw1SCxpJZgD8OKypnyY-bkmgCLcBGAsYHQ/s640/EUMlEpiXkAEMW9C.jpg)