Mh. Magufuli akutana na Watendaji wa CCM jimbo la Chato
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNqWuQhw2sU/VKfnTjXkFTI/AAAAAAAG7CQ/bR88kv-6Os4/s72-c/IMG-20150103-WA018.jpg)
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Chato,Mh. John Pombe Magufuli (aliesimama) akizungumza na Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni kwenye Jimbo hilo,wakati alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza kwa kuaminiwa na kuchaliwa na wananchi.
Sehemu ya Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Chato waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni,wakimsikiliza Mh. Magufuli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WANANCHI WA CHATO KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s640/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9dkgZrsmSDw/Xn-X5-hqzOI/AAAAAAALla8/F8KYvCDAWqktKNyddJB54JBt8gVD3ADfgCLcBGAsYHQ/s640/JPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO%2B2.jpg)
Mhe. Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi wenzake huku wakinywa kahawa pamoja na amewatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua maboga hayo kwa ajili ya chakula chake cha...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU SERIKALINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_52yfYTpyGI/U7G7YnafGZI/AAAAAAAFt0A/9ArfqUwIqYo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAGUFULI AISAMABARATISHA CHADEMA KATA YA ILYAMCHELE WILAYA YA CHATO, 400 WAHAMIA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-_52yfYTpyGI/U7G7YnafGZI/AAAAAAAFt0A/9ArfqUwIqYo/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6RW4Np5ezGE/U7G7aYYZieI/AAAAAAAFt0M/ljA7djxQV6E/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k5IXlTnX9tY/U7G7attY42I/AAAAAAAFt0Q/fSFl9MLrf3k/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Tk8il_cMvbs/Va_qqKwAVmI/AAAAAAAHrNI/0KoHa48J9HQ/s72-c/20.jpg)
SAFARI YA KUJIMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tk8il_cMvbs/Va_qqKwAVmI/AAAAAAAHrNI/0KoHa48J9HQ/s640/20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7mNvG8rg4Xo/Va_qyHOZTMI/AAAAAAAHrNc/1xLRaYt2ZEI/s640/21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-388gX-P-t0w/Va_q1nPTUWI/AAAAAAAHrNk/ciIKQmxZsbs/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ju5e_kvHhFE/default.jpg)
SAFARI YA KUJITAMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tk8il_cMvbs/Va_qqKwAVmI/AAAAAAAHrNI/0KoHa48J9HQ/s640/20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7mNvG8rg4Xo/Va_qyHOZTMI/AAAAAAAHrNc/1xLRaYt2ZEI/s640/21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-388gX-P-t0w/Va_q1nPTUWI/AAAAAAAHrNk/ciIKQmxZsbs/s640/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli apiga kura chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKu-FRHQY24/ViyX9cgVitI/AAAAAAAICrk/guZeTrINfiA/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OFgHg5NzQtY/ViyX9ZrQ2iI/AAAAAAAICrg/NzIT65s9c6Y/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kmU9tkQpRXw/XuCzqEoKK1I/AAAAAAALtUI/jpodPym8lAQdGJ4heYptcFe5CIBKSceNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)