WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao.
Wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato Mkoani Geita wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao wakiimba wimbo maalum wa Shule hiyo katika Mahafali ya 10 shuleni hapo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA NANE YA KIDATO CHA NNE KATIKA SHULE YA SEKONDARI REBU ILIYOPO TARIME YAFANA
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Mbarak Abdulwakil(pichani) kesho Oktoba 16, 2015 anatarajia kuwa Mgeni rasmi kwenye sherehe za Mahafali ya kumi na mbili ya Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari ya Bwawani iliyopo Mkoa wa Pwani.
Kwa mujibu wa Taarifa kwa Vyombo vya Habari iliyotolewa leo Jijini Dar es Salaam na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja inasema jumla ya Wanafunzi 95 wa Shule hiyo wanatarajia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aeRtHEnXSSU/VEpfWnPEw7I/AAAAAAAGtLE/3-POLaBKhMc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-24%2Bat%2B5.08.43%2BPM.png)
10 years ago
MichuziMAHAFALI KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI EDEN GARDEN EDUCATION TRUST
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0tCD7jWaICQ/VEt2EVZBZuI/AAAAAAAGtRc/elPxLu9DFIA/s72-c/mgeni%2Brasmi2.jpg)
MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE NA DARASA LA SABA SHULE YA SEKONDARI MWILAMVYA KASULU KIGOMA
Na Editha Karlo wa Blog ya jamiiWIZARA ya Elimu na mafunzo ya ufundi imepigilia msumari wa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari na shule za msingi za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yeyote atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mahafali ya Kidato cha nne shule ya sekondari WAMA-NAKAYAMA kufanyika jumapili hii
TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s72-c/IMG-20141207-WA0006.jpg)
mahafali ya shule ya sekondari Twayyibat kidato cha nne yafanyika temeke jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s1600/IMG-20141207-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F7-nUks-Px4/VIWIYqgHT7I/AAAAAAACwGM/JnNywPLEdSY/s1600/IMG-20141207-WA0011.jpg)
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI INAYOMILIKIWA NA JESHI LA MAGEREZA YAFANA MKOANI PWANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania