MAHAFALI YA NANE YA KIDATO CHA NNE KATIKA SHULE YA SEKONDARI REBU ILIYOPO TARIME YAFANA
Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya nane ya Kidato cha nne katika shule ya Sekondari Rebu iliyopo Wilayani Tarime George Obuto ambae ni Afisa Elimu Sekondari katika Wilaya hiyo akizungumza katika Mahafali hayo.
Mgeni Rasmi akikabidhi cheti kwa mhitimu
Mhitimu akipokea cheti. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI INAYOMILIKIWA NA JESHI LA MAGEREZA YAFANA MKOANI PWANI
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA 14 YA KIDATO CHA NNE MKOLANI SEKONDARI JIJINI MWANZA YAFANA.
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA KWANZA YA KIDATO CHA NNE KENYAMANYORI SEKONDARI MKOANI MARA YAFANA.
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Mbarak Abdulwakil(pichani) kesho Oktoba 16, 2015 anatarajia kuwa Mgeni rasmi kwenye sherehe za Mahafali ya kumi na mbili ya Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari ya Bwawani iliyopo Mkoa wa Pwani.
Kwa mujibu wa Taarifa kwa Vyombo vya Habari iliyotolewa leo Jijini Dar es Salaam na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja inasema jumla ya Wanafunzi 95 wa Shule hiyo wanatarajia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aeRtHEnXSSU/VEpfWnPEw7I/AAAAAAAGtLE/3-POLaBKhMc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-24%2Bat%2B5.08.43%2BPM.png)
10 years ago
MichuziMAHAFALI KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI EDEN GARDEN EDUCATION TRUST
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0tCD7jWaICQ/VEt2EVZBZuI/AAAAAAAGtRc/elPxLu9DFIA/s72-c/mgeni%2Brasmi2.jpg)
MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE NA DARASA LA SABA SHULE YA SEKONDARI MWILAMVYA KASULU KIGOMA
Na Editha Karlo wa Blog ya jamiiWIZARA ya Elimu na mafunzo ya ufundi imepigilia msumari wa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari na shule za msingi za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yeyote atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s72-c/IMG-20141207-WA0006.jpg)
mahafali ya shule ya sekondari Twayyibat kidato cha nne yafanyika temeke jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s1600/IMG-20141207-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F7-nUks-Px4/VIWIYqgHT7I/AAAAAAACwGM/JnNywPLEdSY/s1600/IMG-20141207-WA0011.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mahafali ya Kidato cha nne shule ya sekondari WAMA-NAKAYAMA kufanyika jumapili hii
TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania