BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli
Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.
Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/i6oyEuQ3tSY/default.jpg)
LIVE ;RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MKOANI SINGIDA AKITOKEA CHATO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 20 may 2020 akizungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali waliokuwepo njiani wakimsubiri alipokuwa akipita akitokea Chato Mkoani Geita akielekea Jijini Dodoma.
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s72-c/_MG_1885.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
StarTV16 Dec
Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao
Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.
Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KN8gCDLADkw/XlkXUMO72VI/AAAAAAACzqA/-xD6PEaZE4QvTSSQ7sgLb7-kEz6YNu5dQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA UJENZI WA MSIKITI WA BAKWATA KINONDONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KN8gCDLADkw/XlkXUMO72VI/AAAAAAACzqA/-xD6PEaZE4QvTSSQ7sgLb7-kEz6YNu5dQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p2pzLNwmn3c/XlkY_yLhF4I/AAAAAAACzqg/W7IsN49sd6oeo2fXvKSopTiA4GfUoq17gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c1NZjzcywrU/XlkXVfIq8AI/AAAAAAACzqE/ITG2Zi4TYOkpgyYoOIR_kKM1Musw9h6-wCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UsJGEtMUrNY/XlkXX1Zef8I/AAAAAAACzqI/Hx9Rv2vs_wYBy_OrhsVsRzBHHij0mTInwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tL72q8FJa_A/XlkbN4nTfJI/AAAAAAACzqs/z-Tz6w_BmAAD5OZ0pZNqNjua-wTw0HU2ACLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s72-c/IMG_6785.jpg)
WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s640/IMG_6785.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4uxGc5E8chU/VmQ_7JWOFxI/AAAAAAAIKeg/yp3rFTEtnHo/s640/IMG_6788_1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
DAWA YA CORONA KUMBE ALIKUWA NAYO RAIS MAGUFULI...AHSANTE KWA KUTUPONYA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli naomba nianze kwa kukusalimia mzee wangu.Shikamoo,natumai unaendelea vema na jukumu la kuwatumikia Watanzania na hasa ya kuleta maendeleo yao.
Baada ya salamu iliyoambatana na unyenyekevu mkubwa kwako naomba sasa nieleze jambo japo kidogo tu.Ndio kuna kitu nataka kueleza na linahusu janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid- 19.
Kama mnavyofahamu ugonjwa huo bado umeendelea kuwa tishio duniani kote.Mataifa madogo na makubwa...