Lowassa atikisa ngome ya Zitto
NA MAREGESI PAUL, KIGOMA
MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.
Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.
Akizungumza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...
11 years ago
MichuziMh. Zitto atikisa Mwidau CUP Pangani
Hayo alisema leo mjini Pangani alipokuwa akizindua mashindano ya Mwidau CUP, ambapo asema hatua ya Tanzania kutoka patupu katika mashindano ya Olimpiki ni kielelezo tosha cha kuhitaji maandalizi ya kina.
“Nchi yetu haijapata bahati ya kufanya vizuri kwenye michezo kwani hivi juzi timu zetu zilikuwa katika...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
CHADEMA yapasua ngome ya Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepasua ngome ya mbunge wake, Zitto Kabwe na kuzidi kujiimarisha kisiasa katika jimbo la Kigoma Kaskazini. Timu ya viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Makamu...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-S7aja5U0esQ/Venv5b-HCiI/AAAAAAAABCM/hbRPw7ksRrY/s72-c/OTH_6030.jpg)
LOWASSA ATIKISA MKOANI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7aja5U0esQ/Venv5b-HCiI/AAAAAAAABCM/hbRPw7ksRrY/s640/OTH_6030.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y5_CfH5xEH8/Venv9YiifuI/AAAAAAAABCc/25eQiAR4RFE/s640/OTH_6079.jpg)
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Lowassa atikisa makao makuu ya CCM
![MTZ jmosi new.indd](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mtz13-300x267.jpg)
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, jana alitikisa mji wa Dodoma ambao ni Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea wakati wa mkutano wa kampeni za urais za mgombea huyo ambapo maelfu ya wananchi wa Dodoma walihudhuria mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Barafu mjini hapa.
Kabla ya mkutano...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s640/OTH_5312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XISrfWvgIxs/VfmOQYRE37I/AAAAAAAACJU/LbEyzMAKWuA/s640/OTH_5333.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Sep
Lowassa aiteka ngome ya CCM
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]
The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani