Mh. Zitto atikisa Mwidau CUP Pangani
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema hatua ya Tanzania kutofanya vizuri katika michenoa ya kimataifa ni kukosekana misingi imara wa kuinua vipaji kuanzia ngazi ya chini.
Hayo alisema leo mjini Pangani alipokuwa akizindua mashindano ya Mwidau CUP, ambapo asema hatua ya Tanzania kutoka patupu katika mashindano ya Olimpiki ni kielelezo tosha cha kuhitaji maandalizi ya kina.
“Nchi yetu haijapata bahati ya kufanya vizuri kwenye michezo kwani hivi juzi timu zetu zilikuwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI
10 years ago
MichuziMBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI
10 years ago
Dewji Blog24 May
Mh. Amina Mwidau (CUF) afaraji wagonjwa na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa Hospitali ya wilaya ya Pangani
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani, Mugiri Emili (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF), Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni, sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.(Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani).
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze-2rvmq8Vs/VG1px99DqbI/AAAAAAAGyVI/PSjgCcj5VcE/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Zitto atikisa Bunge
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Lowassa atikisa ngome ya Zitto
NA MAREGESI PAUL, KIGOMA
MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.
Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.
Akizungumza...
10 years ago
GPLAMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNCjpbjt7jQ/XmJJOaGIt2I/AAAAAAAA9mM/rc4e_Yx-opESIzlPC0n5Ja2LNInV_wjFQCNcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4070AA-768x373%2B%25281%2529.jpg)
WAZIRI MKUU ATUA PANGANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNCjpbjt7jQ/XmJJOaGIt2I/AAAAAAAA9mM/rc4e_Yx-opESIzlPC0n5Ja2LNInV_wjFQCNcBGAsYHQ/s640/PMO_4070AA-768x373%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9TvBFKuqHVg/XmJJRb3WQEI/AAAAAAAA9mQ/-I2_hWVN770qUePeN4uk1qxu8rtolg3_gCNcBGAsYHQ/s640/PMO_4035AA-768x467.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BVoSicJSWCA/XmJJVneN0eI/AAAAAAAA9mU/FpBnyQhfhrQPa956oBkVpJUFj7l2Q_ZTgCNcBGAsYHQ/s640/PMO_3946AA-768x512.jpg)