Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh. Zitto atikisa Mwidau CUP Pangani

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema hatua ya Tanzania kutofanya vizuri katika michenoa ya kimataifa ni kukosekana misingi imara wa kuinua vipaji kuanzia ngazi ya chini.
Hayo alisema leo mjini Pangani alipokuwa akizindua mashindano ya Mwidau CUP, ambapo asema hatua ya Tanzania kutoka patupu katika mashindano ya Olimpiki ni kielelezo tosha cha kuhitaji maandalizi ya kina.
“Nchi yetu haijapata bahati ya kufanya vizuri kwenye michezo kwani hivi juzi timu zetu zilikuwa katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili kushoto akimuelekeza jambo Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau ambaye alitembelea hospitali hiyo jana kuwafariji wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hiyo na kugawana zawadi ambazo ni sabuni,Poda,sukari ikiwemo mahitaji muhimu pamoja na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga mbunge huyo kwa gharama za milioni 5kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau (mkoba wa bluu) akisalimiana na wakina mama wakati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Amina Mwidau (CUF) afaraji wagonjwa na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa Hospitali ya wilaya ya Pangani

DSC00581

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani, Mugiri Emili (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF), Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni, sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.(Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani).

DSC00583

Mbunge wa  Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau...

 

10 years ago

Michuzi

Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014

Na Mwandishi Wetu,Pangani  Timu ya soka ya Mkwaja FC imetwaa ubingwa wa kombe la Mwidau CUP mwaka 2014 baada ya kuifunga timu ya soka ya Kiman’ga kwa mabao 4-2 katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwera wilayani Pangani.  Mchezo huo ambao ulikuwa ni wakuvutanikuvute katika kipindi cha kwanza lakini timu ya Kiman’ga ilionyesha kuzidiwa uwezo kwa kuweza kuruhusu mvua ya magoli katika dakika za awali toka mpira kuanza. Mchezaji wa Mkwaja FC Masoud Ticha ndio alionekana kinara katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto atikisa Bunge

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Zitto Zuberi Kabwe, amesema Tanzania ina uwezo wa kugharimia idadi yoyote ya serikali zitakazoridhiwa na Watanzania kwakuwa ina uwezo mkubwa kifedha. Zitto amesema hakuna uhusiano...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa atikisa ngome ya Zitto

OTH_6079NA MAREGESI PAUL, KIGOMA

MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.

Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.

Akizungumza...

 

10 years ago

GPL

AMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC

Mwenyekiti mpya wa Kamati ya PAC, Amina Mwidau (Viti Maalumu Mkoa wa Tanga CUF). MBUNGE wa viti maalum Mkoa wa Tanga, Amina Mwidau (CUF) ndiye Mwenyekiti mpya wa Kamati ya PAC baada ya aliyekuwa mwenyekiti wake, Zitto Kabwe kung'atuka kwenye nafasi yake ya ubunge. Kupitia akaunti yake ya Facebook, aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema) na Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ambaye jana alijiunga rasmi na Chama cha ACT-Tanzania,...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ATUA PANGANI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Bomani Pangani akiwa katika ziara ya mkoa wa Tanga, Machi 6, 2020.
 Wananchi wa Pangani wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Bomani Pangani akiwa katika ziara ya mkoa wa Tanga Machi 6, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mradi wa ujenzi wa  ukuta wa mto Pangani kabla ya kuuzindua ukuta huo, Machi 6, 2020. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani