Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato
Mgombea wa urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa leo ameingia Wilaya ya Chato ambapo akiwa katika mkutano wa kampeni, Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo ame mponda Dk Magufuli kwa kushindwa kutetea maslahi ya walimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Sep
Lowassa aiteka ngome ya CCM
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]
The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j7gHCBoyrvs/U4T5ubhkkSI/AAAAAAACiTE/8DoMhlMyRA0/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AITEKA HANANG,AIBOMOA NGOME YA CHADEMA MKOANI MANYARA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-j7gHCBoyrvs/U4T5ubhkkSI/AAAAAAACiTE/8DoMhlMyRA0/s1600/3.jpg)
Hatua hiyo ya kumhoji ilifikiwa baada Kiongozi huyo kuuliza swali kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye Kijiji cha...
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Edward Lowassa aiteka tena Dar
MAELFU ya wakazi wa Dar es Salaam jana waliacha shughuli zao zote na kujiunga katika msafara wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye alikuwa na mikutano ya kampeni katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Kawe.
Lowassa aliwasili Temeke katika Uwanja vya Mwembeyanga saa 05:20 asubuhi ambako alilakiwa na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza.
Akifuatana na Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye...
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Lowassa atikisa ngome ya Zitto
NA MAREGESI PAUL, KIGOMA
MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.
Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.
Akizungumza...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s72-c/OTH_5312.jpg)
LOWASSA ATIKISA CHATO, MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XenAHcCxnG4/VfmOP-yp0JI/AAAAAAAACJI/jJxZHQwFWz0/s640/OTH_5312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XISrfWvgIxs/VfmOQYRE37I/AAAAAAAACJU/LbEyzMAKWuA/s640/OTH_5333.jpg)
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AITEKA IRINGA AWAFAGILIA MWAKALEBELA, MGIMWA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-96DM5Xjp6KI/VhQBZBpjEEI/AAAAAAADAZk/XrAVhJ_GS_E/s72-c/_MG_3542.jpg)
MAGUFULI AITEKA ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-96DM5Xjp6KI/VhQBZBpjEEI/AAAAAAADAZk/XrAVhJ_GS_E/s640/_MG_3542.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3Ep2iJe_yng/VhQBdvZbLhI/AAAAAAADAaM/vmyQqKgTyDE/s640/_MG_3653.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-EX8WAuzGmzg/VXXhw4vEoSI/AAAAAAAAUrw/JhLAaGLm3Dw/s640/Lowassa_Geita%2BCCM%2Bwilaya.jpg)
LOWASSA AZOA WADHAMINI 3,000 GEITA, CHATO