Edward Lowassa aiteka tena Dar
MAELFU ya wakazi wa Dar es Salaam jana waliacha shughuli zao zote na kujiunga katika msafara wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye alikuwa na mikutano ya kampeni katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Kawe.
Lowassa aliwasili Temeke katika Uwanja vya Mwembeyanga saa 05:20 asubuhi ambako alilakiwa na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza.
Akifuatana na Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Staili ya Chegeni yatumika tena kumshawishi Edward Lowassa
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mkutano wa Kihistoria tena Mbeya, Edward Lowassa afunika umati wafurika!
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu”, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini Mbeya leo Oktoba 18, 2015.
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Mbeya mjini katika viwanja vya Rwanda-nzovwe jijini Mbeya leo Jumapili 18/10/2015,akiomba kura pamoja na kunadi sera...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-keNbN9q_Oqk/VbdDfqyy4XI/AAAAAAAAtbI/cvfQ_IjXD3E/s72-c/lowassa_dom.jpg)
Mh. Edward Lowassa kuunguruma leo jijini Dar, Fatilia mkutunao huo kupitia hapa kuanzia saa 9 alasiri
![](http://3.bp.blogspot.com/-keNbN9q_Oqk/VbdDfqyy4XI/AAAAAAAAtbI/cvfQ_IjXD3E/s640/lowassa_dom.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Sep
Lowassa aiteka ngome ya CCM
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]
The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QTCsqUg4u0w/Ve3RqJ96FiI/AAAAAAAAY9o/dyIrD-gGWzM/s72-c/OTH_8093.jpg)
LOWASSA "AITIKISA" TENA DAR, KIBAMBA YATAPIKA PEOPLE'S WAMWAMBIA "ULIPO TUPO"
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTCsqUg4u0w/Ve3RqJ96FiI/AAAAAAAAY9o/dyIrD-gGWzM/s640/OTH_8093.jpg)