Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aiteka Mwanza

LOWASSA Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa aiteka ngome ya CCM

Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]

The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato

Mgombea wa urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa leo ameingia Wilaya ya Chato ambapo akiwa katika mkutano wa kampeni, Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo ame mponda Dk Magufuli kwa kushindwa kutetea maslahi ya walimu.

 

9 years ago

Mtanzania

Edward Lowassa aiteka tena Dar

lowasaMAELFU ya wakazi wa   Dar es Salaam jana waliacha shughuli zao zote na kujiunga katika msafara wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye alikuwa na mikutano ya kampeni  katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Kawe.

Lowassa aliwasili Temeke katika Uwanja vya Mwembeyanga saa 05:20 asubuhi ambako alilakiwa na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza.

Akifuatana na Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mwanza jiandaeni

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alitua jijini Mwanza na kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae kupokea ushindi.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Magufuli waikwepa Mwanza

Wakati kampeni zikiwa zimefikia katikati, vyama vya CCM na Chadema bado hazijajitosa mkoani Mwanza kufanya mikutano yake licha ya kupita mikoa inayouzunguka.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya

OTH_9895Na Fredy Azzah, Mwanza

ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.

Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.

Mkoa...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA

 Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Jiji la Mwanza, mara baada ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015. Watu wa huduma ya kwanza wa kikosi cha Msalaba Mwekundu, wakiwasaidia wananchi mbali mbali waliopoteza fahamu kutokana na kukosa hewa, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi...

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi Mwanza wamtaka Lowassa achukue fomu

EdwardLowassaNA BENJAMIN MASESE, MWANZA

WANAFUNZI wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, achukue fomu ya kuwania urais ndani ya CCM muda utakapofika.

Wamesema kutokana na uchapakazi wa kiongozi huyo wamelazimika kutoa tamko lao kwa umma la kumwomba mbunge huyo wa Monduli asikilize kilio chao cha kuwania urais baada ya kutangazwa utaratibu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Wanafunzi hao  wa vyuo vya Mtakatifu Augustino (SAUT), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)...

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA YUKO ZIARANI MWANZA KUOMBA WADHAMINI.

MAELFU ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM, na wakazi wengine wa jiji la Mwanza, leo Ijumaa Juni 5, 2015, walifurika kwa wingi kwenye ofisi za CCM wilaya ya Nayamagana na ile ya Ilemela, wengine wakitaka kumuona na kupeana mikono na wengine kwa nia ya kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edwrad Lowassa, alipofika jijini Mwanza kutafuta wana CCM wa kumdhamini katika safari yake ya Matumaini. (Kuwania urais wa Tanzania kupitia CCM.Madereva texi, waendesha bodaboda, na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani