Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya
Na Fredy Azzah, Mwanza
ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.
Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.
Mkoa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza
Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Malope kutikisa Mwanza Aprili 4
BAADA ya kuweka historia katika Tamasha la Pasaka mwaka 2012, Malkia wa muziki wa injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, anatarajia kuuinua umati wa mashabiki wa muziki huo jijini Mwanza, Aprili...
10 years ago
GPLMBOWE KUTIKISA MWANZA KESHO
11 years ago
Dewji Blog29 May
Mtoto Shigela aliyezaliwa na VVU aaga Dunia jijini Mwanza
Marehemu Shigela ezni za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu.
Mtoto Shigela amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.
Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania .
Bado msaada wako unahitajika kukamilisha mipango ya mazishi kwa mtoto wetu mpendwa Shigela.
Namba ya simu ya...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/10342004_1886404071498512_8618777191309208307_n.jpg)
MASKINI! MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PkMLeXJaM0E/VEQ4yX4t0LI/AAAAAAAARWU/SgYgrOxxJT0/s72-c/IMG-20141018-WA0011.jpg)
ZIARA YA BAWACHA YAANZA KWA KISHINDO KWA KUTIKISA MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PkMLeXJaM0E/VEQ4yX4t0LI/AAAAAAAARWU/SgYgrOxxJT0/s640/IMG-20141018-WA0011.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d3IqyrZzXIw/VEQ4yVee7SI/AAAAAAAARWY/pruGGrXMPDU/s640/IMG-20141018-WA0012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XR2VlFz0V00/VEQ40xV7GHI/AAAAAAAARWk/B9Qf9CR3fRY/s640/IMG-20141018-WA0010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DLe97cNzT5Q/VEQ42VSxtiI/AAAAAAAARWw/21KQrurbNkw/s640/IMG-20141018-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AwXy7617NIY/VEQ42dhh_XI/AAAAAAAARWs/R62twC8K3bM/s640/IMG-20141018-WA0005.jpg)
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Lowassa: Mwanza jiandaeni