Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Original Komedi waacha gumzo jijini Mwanza kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack
![orijino komedy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/orijino-komedy.jpg)
![Masanja2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Masanja2.jpg)
![Mpoki](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mpoki.jpg)
![MwanaFA2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/MwanaFA2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Tigo yazidi kuwapagawisha wananchi wa Dodoma kwenye Tamasha la Welcome Pack
Msanii Emmanuel Simwinga maarufu Izzo Business akipiga bonge la shoo kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma. Kifurushi cha welcome pack kinatoa muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, sms bila kikomo na shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa Original Komedi wakiwapa burudani wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi wa welcome pack kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma mwishoni...
10 years ago
Dewji Blog27 May
YAMOTO Band kutikisa jiji la Arusha Jumamosi hii
Bendi maarufu ya Yamoto yenye makazi yake jijini Dar es salaam inayoundwa na vijana wanne jumamosi Mei 30 inataraji kutumbuiza katika jiji la Arusha katika onyesho la Usiku wa wanawake maarufu
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mratibu wa onyesho hilo,Faustine Mwandago alisema kuwa bendi hiyo inataraji kupamba onyesho hilo ambalo wahudhuriaji wote watavalia vazi jeupe.
Alisema kuwa onyesho hilo litasindikizwa na wanawake maarufu kam Vera Sidika na Miss Tanzania 2015,Lilian Kamazima...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki
Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...
10 years ago
Michuzi10 Nov
TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10752811_770834002964751_455102368_o.jpg?oh=1b89da316447ce5456c59eea956c7805&oe=5462769C&__gda__=1415735297_d1eda4e9eae9628497d28db49c7d9c9c)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756902_770833936298091_1412211642_o.jpg?oh=df5bd8d068977a689b210b8b030473d2&oe=54628C36&__gda__=1415725734_19a16af4460517cf12be00f2e2781bad)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756381_770834029631415_705668584_o.jpg?oh=eda6bf3b244a53b846c4ed32f0f6e2fa&oe=546162C3&__gda__=1415747358_87e2c5577877db45dcbb9fd81e7630bf)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10800141_770834039631414_1976091569_o.jpg?oh=a5c1771383731ea0acdec7b125bfb108&oe=5462418C&__gda__=1415741276_4f4754d09da2f2a78b6ba91df65c7aca)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10804803_770834756298009_337901727_o.jpg?oh=fc23a3cb26948c1c8b3bb68c6a3b9f28&oe=546265DB&__gda__=1415723846_a1f865015e7f299d994a377bf2b88c91)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10754454_770834052964746_574637670_o.jpg?oh=51a663cd977916c2986e45856d0b26c7&oe=54627FCE&__gda__=1415672915_40d4df5bbec4f4c60f793846c11033ca)
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha Mjini Kigoma
Msanii Alex Chalamila maarufu kama MCRegan akiburudisha katika tamasha la kuhamasisha matumizi ya mtandao wa simu ya mkononi ya Tigo lililofanyika kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Msanii nguli wa hiphop nchini Joseph Haule a.k.a Prof J akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo welcome pack huku akisindikizwa na wasanii wa kundi la Origional Comedy kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Msanii wa Bongo Flava Sunday Mjeda (Linex) akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo welcome...
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.
Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha wakazi wa Mji wa Moshi
Wasanii wa kundi la Original Komedi wakitoa burudani kwenye uwanja wa Ushirika Mjini Moshi wakati wa kampeni ya kifurushi cha Tigo welcome pack, Kifurushi hicho kitamwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, mb175,sms bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Msanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji akiwapa raha wakazi wa Moshi waliofurika kwenye uwanja wa...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tamasha kubwa la Tigo welcome pack lafana mkoani Arusha
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group Mkoani Arusha kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack, Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, SMS bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya Tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa...