Lowassa: Mwanza jiandaeni
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alitua jijini Mwanza na kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae kupokea ushindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Lowassa, Magufuli waikwepa Mwanza
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bk6e3DjksM0/Vhv4PK8AU9I/AAAAAAAAbAM/B8Xxv0lEOHE/s72-c/OTH_0900.jpg)
LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bk6e3DjksM0/Vhv4PK8AU9I/AAAAAAAAbAM/B8Xxv0lEOHE/s640/OTH_0900.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0dRVLGTH4U/Vhv5BQN0I-I/AAAAAAAAbAc/5UNfzp9OZV4/s640/OTH_9823.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya
Na Fredy Azzah, Mwanza
ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.
Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.
Mkoa...
11 years ago
Habarileo25 Jun
'Watanzania jiandaeni uchumi wa gesi'
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, aliwataka Watanzania kujiandaa na uchumi wa gesi, kwa kuwa ndio utakaotoa ajira mpya nyingi na za uhakika.
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Lema: Vijana jiandaeni kisaikolojia
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), amesema Serikali ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM), imeshindwa kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, hivyo akawataka vijana wanaohitimu elimu wajiandae...
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Wanafunzi Mwanza wamtaka Lowassa achukue fomu
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
WANAFUNZI wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, achukue fomu ya kuwania urais ndani ya CCM muda utakapofika.
Wamesema kutokana na uchapakazi wa kiongozi huyo wamelazimika kutoa tamko lao kwa umma la kumwomba mbunge huyo wa Monduli asikilize kilio chao cha kuwania urais baada ya kutangazwa utaratibu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wanafunzi hao wa vyuo vya Mtakatifu Augustino (SAUT), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
LOWASSA YUKO ZIARANI MWANZA KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s640/Lowassa_MZA2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lk9t11NgM5U/VXGjVGWmawI/AAAAAAAAUhI/26SW3SWYIhE/s640/Lowassa_MZA3.jpg)